Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Tumemuona mpaka askofu mmoja anajikomba na ni nshomile!Hawezi kuwa nshomile. Nshomile huwa hawajikombi wala kujipendekeza Kwa yeyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumemuona mpaka askofu mmoja anajikomba na ni nshomile!Hawezi kuwa nshomile. Nshomile huwa hawajikombi wala kujipendekeza Kwa yeyote.
Nimeshaelewa. Kama barua zikitoka, tunaweka gia nyingine tu, tena ile ya matopeni, halafu tunaendelea na mjadala.soma vizuri uzi , hakuna aliyesema hawataitwa
🤣🤣🤣Chanzo Tanzania Daima!! Upuuzi hahaha
Mkuu hizi picha za kustaajabisha huwa unazinasa kwenye 'angle' zipi?
Huyu ungemuuliza mambo ya ulozi angekujibu faster😠😠😠Mtaalamu tufafanulie kidogo
Kituko ni ufipa wanajisahau na kuongea ya sisiemu. Wakija shtuka 2020 octob hii, kinachofuata tumeibiwa.
Hii ndio habari mpya kwa sasa, kwamba barua za kuwaita wastaafu ili wahojiwe kwenye vikao vya chama chao mpaka leo hazijaandaliwa baada ya Katibu Mkuu wa ccm ndugu Bashiru Ally kukumbwa na " Kindengu ndengu " watu wa Nyasa wanaita hali hii kama kutetemeka mikono kunakoweza kusababisha mhusika kudondosha glass ya maji au hata kushindwa kushika kalamu ya kuandikia .
Taarifa za ndani kwa ndani zinadokeza kwamba sababu ya kindengundengu hiki ni kutokana na kukosekana kwa sababu za maana za kuwaita wazee hawa kwenye kikao hicho
Tuendelee kutega sikio labda waweza kuitwa kwa njia ya Whatsapp.
Ni kama vile fisiem mlivopoteza mwelekeo mlikomalia MBOWE aachie kiti mlijisahau mkizani ni mwenyekiti wa Fisiem. Aasa Mbowe huyooo msiyempenda anaendelea kuwaumiza miaka 1000😃😃😃Kituko ni ufipa wanajisahau na kuongea ya sisiemu. Wakija shtuka 2020 octob hii, kinachofuata tumeibiwa.
Endeeni kucheza hili dansi. Dadadeki.
Umeonae!! Majinga kweli kweli! Yakiitwa manyumbu, yanalalamika!!!Kituko ni ufipa wanajisahau na kuongea ya sisiemu. Wakija shtuka 2020 octob hii, kinachofuata tumeibiwa.
Endeeni kucheza hili dansi. Dadadeki.
CHADEMA tutawasafisha.kuna kila dalili
CCM hawana shida kabisa na Mbowe.Ni kama vile fisiem mlivopoteza mwelekeo mlikomalia MBOWE aachie kiti mlijisahau mkizani ni mwenyekiti wa Fisiem. Aasa Mbowe huyooo msiyempenda anaendelea kuwaumiza miaka 1000😃😃😃
Cc: Erythrocyte
Sasa hivi mzee lowasa amechili tu. Waliomchafua wamemsafisha kwa madodoki. Na barabara wamemdekia.CHADEMA tutawasafisha.
Chama chetu kina uzoefu wa kusafisha MAFISADI ya CCM.
Kazi yake ni kutokwa mipovu tuKatika watu ambao ni useless ni huyu Ndugu yangu Nshomile. Very hopeless! Anadhani atafia ofisi ya CCM na atakwenda nayo kwa shetani akifa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha aendelee, ndio vizuri. Inapendeza kuwa na mtu kama mbowe anayejua kucheza na akili za bavicha alafu huku wana kitengo wanacheza na akili za mbowe! Hivyo mziki wa kitengo ukiwekwa kupitia mbowe hadi wewe unakata mauno huku jasho likikutoka.Ni kama vile fisiem mlivopoteza mwelekeo mlikomalia MBOWE aachie kiti mlijisahau mkizani ni mwenyekiti wa Fisiem. Aasa Mbowe huyooo msiyempenda anaendelea kuwaumiza miaka 1000😃😃😃
Cc: Erythrocyte
umedanganyika kizembe sana !Acha aendelee, ndio vizuri. Inapendeza kuwa na mtu kama mbowe anayejua kucheza na akili za bavicha alafu huku wana kitengo wanacheza na akili za mbowe! Hivyo mziki wa kitengo ukiwekwa kupitia mbowe hadi wewe unakata mauno huku jasho likikutoka.
Baada ya hapo Sasa tutaona mbeya mjini, arusha mjini, iringa mjinì, kibamba na kawe n hai nani atashinda. Huku ndio kwenye minyukano. Uchaguzi wa rais na wabunge maeneo mengine ni rahisi kwa sisiemu kama kunywa maji.
Tuone kazi ya huyo asiyependwa.
Endelea kukata mauno mkuu na mikono kiunoni.umedanganyika kizembe sana !
.....mae zenyu👺 mlikuwa mna😭😭😭 nini... Mbowe atoke Mbowe achia kiti😭😭😭 ....anina zenyu.CCM hawana shida kabisa na Mbowe.
Hakuna kitu rahisi kwa CCM kama kupiga dili na Mbowe.
Kamanda nadhani ulikuwa una hallucinate......mae zenyu👺 mlikuwa mna😭😭😭 nini... Mbowe atoke Mbowe achia kiti😭😭😭 ....anina zenyu.
Huyo hapo msiyempenda Karudi shwain nyie
upo sahihi mkuu. miongoni mwa mambo ya kipuuzi anayofikiria bwana BASHIRU nadhani anaweza kuirudisha ccm iwe kama ya nyerere? hovyo kabisa japo mwalimu wanguKatika watu ambao ni useless ni huyu Ndugu yangu Nshomile. Very hopeless! Anadhani atafia ofisi ya CCM na atakwenda nayo kwa shetani akifa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakuwa nshomile feki.Nshomiles are Very arrogant