Barua za kuwaita Kinana, Membe na Makamba zaota mbawa, Mikono ya Bashiru Ally yatetemeka kila akishika kalamu

Kwani sheria inasemaje kuhusu udukuzi?
Mbona sababu zipo. 1. Kumsengenya masiah kwa njia ya sim
2. Kuonesha nia ya kumnyang'anya tonge mdomoni msema kweli.

Wasitutanie. Ita wahalifu hao wahojiwe
 
Huu ni uchochezi wa gazeti la chadema, strategy mzuri wanayoitumia kwenye gazeti lao. Hii wanajitahidi kuhakikisha chama cha CCM na serekali wanapoteza focus kwenye mambo ya siasa na maendeleo kwa kuchokonoa siasa za ndani za ccm.

Sidhani kama CCM inaingia huu mtego wao, watafanya mambo kwa hekima na uzoefu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Too late
 
Wacheni kuwajaza vichwa hao wazee wenu wezi wakubwa.
Halafu ccm sio SACCOS bali taasisi, wanajua kinachoendelea,

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilimuheshimu akiwa UDSM kwa uchambuzi usio na chembe ya upande. Kufika Fisiem kama kawaida yao wamelamba ule ubongo wa uchambuzi amebakishiwa ile kitu inatolewa kwa lile tundu la nyuma. Uzuri ni kifo cha wengi palamagamba yeye amekiri kuwa ubongo umeshalambwa na makazi yake ni jalalani. poor FISIEM kaburi la vipaji na utaalamu
 
Aiseee!!!
 
Du bidada huishi vituko! Sasa kindengundengu ndo mtaa gani ? Na hawa wazee unaosimama upande wao mbona walipokua madarakani mliwananga ? Wajameni !!
 
Huyu mnyama(probably the head of this state) inaonekana alipigwa mkuki kama sio mshale(yaani mzee niguse ninuke, makamber, ns kinanauka ndio mkuki wenyewe) ila akasurvive lakini mshale huo umeendelea kumtafuna taratibu kwakukosa wa kuutoa(sio ccm wala katibubwake wameshindwa) pale ulipong'ang'ania kichwani(yaani ccm na mwenyekiti wake
😠😠😠Mtaalamu tufafanulie kidogo


maoni yangu kwa muktadha wa kinacho endelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…