Barua za kuwaita Kinana, Membe na Makamba zaota mbawa, Mikono ya Bashiru Ally yatetemeka kila akishika kalamu

Du bidada huishi vituko! Sasa kindengundengu ndo mtaa gani ? Na hawa wazee unaosimama upande wao mbona walipokua madarakani mliwananga ? Wajameni !!
Kazi yetu ni kufukua na kuleta hadharani habari zinazofichwa
 
siri ni moja ccm inautamaduni auto wagusa walio kuwa ndani ya serikali na ngaz za juu chama. Hapo ukigusa chama kinaweza kuku freeze ndio maana JK akamfuwata Mzee kwa Helicopter shambani. Chezea ccm. Yani wakikinukisha hata jeshi unaliona halina nguvu mpaka wanao poteza watu wanakupoteza wewe oh ccm hatari sana.
 
Magu na Dr Bashiru wamewakosea adabu sana akina mzee Kinana, Makamba na Membe. Wawaombe radhi. Kumbuka hawa ndio wenye chama. Jiwe na Bashiru ni outsiders. Hata hivyo vyeo wamevipata kama zari tu. Hata wao deep inside wanajua. Wasijisahau sana.


Katika watu ambao ni useless ni huyu Ndugu yangu Nshomile. Very hopeless! Anadhani atafia ofisi ya CCM na atakwenda nayo kwa shetani akifa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kindengu ndengu.Bhambo,habareee,ulamaaaaaa?

Sent from my TA-1024 using Tapatalk
 
Mbona sababu zipo. 1. Kumsengenya masiah kwa njia ya sim
2. Kuonesha nia ya kumnyang'anya tonge mdomoni msema kweli.

Wasitutanie. Ita wahalifu hao wahojiwe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TA-1024 using Tapatalk
 
Tuendelee kutega sikio labda waweza kuitwa kwa njia ya Whatsapp .
Ccm huwa haifanyi kazi kwa mitulinga kamanda
Yaani Nec iagize halafu katibu ashindwe kutekeleza!?acha utani wewe,subiri sikukuu zipite
 
Ccm huwa haifanyi kazi kwa mitulinga kamanda
Yaani Nec iagize halafu katibu ashindwe kutekeleza!?acha utani wewe,subiri sikukuu zipite
Nakuona mpambe kwenye ubora wako wa kutolewa ufahamu na kubaki debe tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TA-1024 using Tapatalk
 
Nakuona mpambe kwenye ubora wako wa kutolewa ufahamu na kubaki debe tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TA-1024 using Tapatalk
Jikite kwenye hoja,kama upambe hata wewe unamshabikia mwamba tuvushe
 
Magu na Dr Bashiru wamewakosea adabu sana akina mzee Kinana, Makamba na Membe. Wawaombe radhi. Kumbuka hawa ndio wenye chama. Jiwe na Bashiru ni outsiders. Hata hivyo vyeo wamevipata kama zari tu. Hata wao deep inside wanajua. Wasijisahau sana.
Ni Ngekewa tu kuwa Rais na Katibu mkuu, hawakustahili. CCM ni ya wazee hawa, wamewakosea sana adabu! Lakini the one to blame ni Kikwete! Alikuwa na veto ya kumkataa Jiwe , lkn kwa UDHAIFU wake akapita
 
Jikite kwenye hoja,kama upambe hata wewe unamshabikia mwamba tuvushe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Barikiwa saana.Unajua maisha ni mipango.Hiyo kazi uliyoichagua, hakika kwa sasa ndiyo yenye ujira mkubwa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TA-1024 using Tapatalk
 
Acheni upambe mtakuja kumuudhi mwenyekiti atimue watu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na jasusi anasubiri sana kwa hamu hiyo barua....na jasusi atakapokua mbele ya kamati itabidi na jiwe naye awepo
 
Ccm huwa haifanyi kazi kwa mitulinga kamanda
Yaani Nec iagize halafu katibu ashindwe kutekeleza!?acha utani wewe,subiri sikukuu zipite
aliyeagiza ni Magufuli , ccm haikuagiza huo uchafu
 
CCM in turmoil. Those who deny it are hopeless
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…