Barua za uhamisho kutoka mkoani kwenda wizarani huchukua muda gani?

Barua za uhamisho kutoka mkoani kwenda wizarani huchukua muda gani?

Action and Reaction

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2021
Posts
1,438
Reaction score
1,496
Wanajamii wenzangu, barua yangu ya uhamisho katika ngazi za wilaya ilikamika kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine baada ya kusota kwa muda mrefu na nilishapeleka mkoani.

Nashindwa kuelewa process ya mkoani kwenda wizara itachukua muda gani isije ikawa zinawekwa kapuni mana mpaka naifikisha mkoani daaa ni Mungu pekee maana rushwa nilishakataaga nafsini mwangu!

Wengine wanahama ndani ya mwezi mmoja tangu waanze process ila mie msoto niliokula unatosha! Kuna jamaangu alitoa 2M ndani ya wiki mbili akahamishwa, akaniunganishia mchongo huo nikagoma aisee!

NB: Kuna ukweli kwamba huwa ni vipindi viwili mwezi wa 6 na wa 12? LAKINI kuna watu wanahama kabla ya wakati huo. So sielewi inakuwaje wanajamii!
 
Mkono mfupi haulambwi..watu wameshaweka kapuni hiyo barua..yani wapige miayo siku nzima ofisini wakuhangaikie wewe.

Hata vyuma huwekewa gris ili vilainike.

Kama umekataa kuwalambisha asali jipange kufanya ufuatiriaji wa bampa to bampa...yani usikosekane kwenye korido za maofisni ukifuatiria barua yako yani usilaze damu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mkono mfupi haulambwi..watu wameshaweka kapuni hiyo barua..yani wapige miayo siku nzima ofisini wakuhangaikie wewe.

Hata vyuma huwekewa gris ili vilainike.

Kama umekataa kuwalambisha asali jipange kufanya ufuatiriaji wa bampa to bampa...yani usikosekane kwenye korido za maofisni ukifuatiria barua yako yani usilaze damu.

#MaendeleoHayanaChama
Daaa wejamaa!
Nakwambia usitoi hela yoyote ile!
 
Huna akili na adabu baki na umaskini wako ukom kuleta siri za wenzako kwa watu eti mwenzangu alitoa milioni mbili mjinga kabisa wewe unataka kuiambia nini jamii, wewe si uligoma kutoa haya unawashwa nini kumsemea mwenzako
 
Huna akili na adabu baki na umaskini wako ukom kuleta siri za wenzako kwa watu eti mwenzangu alitoa milioni mbili mjinga kabisa wewe unataka kuiambia nini jamii, wewe si uligoma kutoa haya unawashwa nini kumsemea mwenzako
Jamaa umeniandama daaa!
 
Huna akili na adabu baki na umaskini wako ukom kuleta siri za wenzako kwa watu eti mwenzangu alitoa milioni mbili mjinga kabisa wewe unataka kuiambia nini jamii, wewe si uligoma kutoa haya unawashwa nini kumsemea mwenzako
Kwahiyo wewe ni mpokea mihela!

Aisee yangu hupati!
 
Back
Top Bottom