LGE2024 Barwan Salum: Walemavu watolewe hofu na wahamasishwe kuwania nafasi za uongozi

LGE2024 Barwan Salum: Walemavu watolewe hofu na wahamasishwe kuwania nafasi za uongozi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Tanzania ni taifa ambalo katika miaka kadhaa nyuma lilikumbwa na mauaji makubwa ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) haswa kipindi cha uchaguzi kilipokuwa kinakaribia. Licha ya matukio hayo mwaka 2010, historia iliandikwa na Barwan Salum baada ya kuchaguliwa kuwa mbunge wa jimbo la Lindi, kusini mwa Tanzania na kuwa Mbunge pekee albino kuchaguliwa na wananchi nchini Tanzania na hata Afrika Mashariki.

Kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Novemba 27 Mwenyekiti wa CHADEMA, Lindi mjini Barwan Salum amewataka watu wa karibu wahamasishe watu wenye ulemavu kuwania nafasi za uongozi kwasababu ni sehemu ya Jamii ambayo inatakiwa kunufaika na nafasi hizo.
Soma, Pia:
 
Issue siyo kuwa na ulemavu pekee, tunataka mtu ambaye atatetea watu wote na kuwa mzalendo kwa nchi ake
 
Back
Top Bottom