BASATA hawakuelewa matusi ya Harmonize mbele ya viongozi wa nchi?

BASATA hawakuelewa matusi ya Harmonize mbele ya viongozi wa nchi?

maroon7

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
11,311
Reaction score
15,640
Katika vitu vya kushangaza ni hili la msanii harmonize kutaja matusi kwa makusudi tena kwa kurudiarudia bila ya kujali uwepo wa viongozi wa nchi siku ile ya yanga day.

Nilitegemea angenyang'anywa kipaza sauti na waandaaji lakini ajabu haikua hivyo. Akaendelea tena na tena kutamka lile neno bomboclat qmbalo ni tusi kubwa lenye kufedhehesha linalotumika Jamaica. Ikumbukwe pia nchi nzima akiwemo Rais wa nchi walikua wakitazama matangazo yale moja kwa moja.

Inachoshangaza zaidi ni BASATA kulikalia kimya kabisa kana kwamba ni kitu cha kawaida kilichotokea, sasa sielewi ni sababu hawaelewi maana ya bomboclat au wanahisi watu hawaelewi maana yake hivyo wamepotezea.

Kuonesha kuwa haikua bahati mbaya kwa harmonize kutukana kwa kurudiarudia,alidiriki hata kuongea upuuzi kwa kutamka kupenda wanawake wenye makalio makubwa..huku akijua pale sio club na watu wa rika zote wanatazama yale matangazo. Hivi hawa BASATA wanajielewa kweli?
 
Mbomboclat ni chupi, na Harmonize hajakosea, kila aliyekuwepo pale lazima amevaa chupi... In vazi tu kama mavazi mengine.

Hao viongozi unaowaongelea na MwanaFA alikuwepo, ushafuatilia mashairi ya ngoma zake vizuri? Mtoa mada acha yoga. Maisha ndio haya haya sahau paradiso maana hauijui na hautofika maana haipo.
Bomboclat ndiyo Nini mkuu hebu eleza vizuri
 
Harmonize alichafua hali ya hewa na kwanini aligoma kushuka jukwaani wakati muda wake ulikuwa umeisha
 
Nchi imejaa wajinga, walopokajilopokaji wapuZ
Sijui wametokea wapi
Nchi eti muongeaji sana mchekeshaji sana anapewa airtime..
😄

Ova
 
Katika vitu vya kushangaza ni hili la msanii harmonize kutaja matusi kwa makusudi tena kwa kurudiarudia bila ya kujali uwepo wa viongozi wa nchi siku ile ya yanga day.

Nilitegemea angenyang'anywa kipaza sauti na waandaaji lakini ajabu haikua hivyo. Akaendelea tena na tena kutamka lile neno bomboclat qmbalo ni tusi kubwa lenye kufedhehesha linalotumika Jamaica. Ikumbukwe pia nchi nzima akiwemo Rais wa nchi walikua wakitazama matangazo yale moja kwa moja.

Inachoshangaza zaidi ni BASATA kulikalia kimya kabisa kana kwamba ni kitu cha kawaida kilichotokea, sasa sielewi ni sababu hawaelewi maana ya bomboclat au wanahisi watu hawaelewi maana yake hivyo wamepotezea.

Kuonesha kuwa haikua bahati mbaya kwa harmonize kutukana kwa kurudiarudia,alidiriki hata kuongea upuuzi kwa kutamka kupenda wanawake wenye makalio makubwa..huku akijua pale sio club na watu wa rika zote wanatazama yale matangazo. Hivi hawa BASATA wanajielewa kweli?
Kuonesha kuwa haikua bahati mbaya kwa harmonize kutukana kwa kurudiarudia,alidiriki hata kuongea upuuzi kwa kutamka kupenda wanawake wenye makalio makubwa..huku akijua pale sio club na watu wa rika zote wanatazama yale matangazo. Hivi hawa BASATA wanajielewa kweli?👌🏿
 
Mbomboclat ni chupi, na Harmonize hajakosea, kila aliyekuwepo pale lazima amevaa chupi... In vazi tu kama mavazi mengine.

Hao viongozi unaowaongelea na MwanaFA alikuwepo, ushafuatilia mashairi ya ngoma zake vizuri? Mtoa mada acha yoga. Maisha ndio haya haya sahau paradiso maana hauijui na hautofika maana haipo.
Aisee.
Bomboclat ni chupi!?
Mbona ina jina refu sana wakati vazi ni dogo tu?
 
Hiyo haikuwa slang ya kutumia kwenye eneo hilo
Lakini kutokana bongo sahv nchi ishachafuka kimaadili..ushnz ushnz mwingi na hiyo miiziki yao
Watu wanaona sawa tu
Hapo uwanjani hata watu wange kulana mtaro wanznchi wangeshangilia tu
Kwa kifupi taifa limekuwa la ovyooo

Ova
 
Back
Top Bottom