Kaanza kufanikiwa kabla "hajahamasisha" hayo unayoyasemaAnachokifanya Diamond ni mashart ya mganga from Hollywood.....kutoka kule ili ufanikiwe katika tasnia ya burdan lazima uhamasishe moja wapo ya hv vtu vtatu.1.Ngono 2.Uchawi. 3.Mauaji...angalia filamu zote duniani, na miziki yote lazima ihamasishe kimoja wapo...
Ili aendelee kufanikiwa lazma afanye hayo.....Intertainment ina wababe wake ndug, dogo anastruggle sana kumantain status yake...wakat mwingine inamlazimu kuingia chocho kama hzoKaanza kufanikiwa kabla "hajahamasisha" hayo unayoyasema
BASATA nilikuwa nawashangaa huu uchafu unamwagwa na huyu kijana aliyekosa maadili na nyie mnamlea tu. Na wengine pia fuatilia aibu kwa Taifa lililoheshimika wakati wa NyerereKwanza Nilikua najiuliza huyu dogo mambo yote ya hovyo anafanya na kusamehewa lakini bado mnambeba tu?
Mbona wasanii wengine hawafanyi ujinga kuanzia maisha halisi hadi kwenye mitandao ya kijamii?
Mlichofanya mnastahili pongezi kwani mnasimamia maadili na ukiangalia nyimbo zote za huyu msanii wa hovyohovyo kitabia ni mbovu tu maadili hazina Watanzania tujifunze kussuport watu wanaojiheshimu kwenye jamii.
Mkuu kwahiyo mtu akiwa analipa kodi hatakiwi kufuata sheria za mamlaka? alichokifanya Diamond kuimba wimbo uliopigwa marufuku na serikali ni sawa au sio sawa?Sasa akifungiwa mtoto wako atasoma wapi?, unajua kwamba diamond analipa kodi kupitia muziki?
Tuna Raisi mwenye msimamo imara asiyeyumbishwa ,fanyeni kazi kwa mfano wake mzuri; amewaweka ili mnyooshe mambo kwa niaba yake. Ziko nyimbo nyingi chafu zimezagaa kila mahali fuatilieni muokoe watoto wetuBASATA nilikuwa nawashangaa huu uchafu unamwagwa na huyu kijana aliyekosa maadili na nyie mnamlea tu. Na wengine pia fuatilia aibu kwa Taifa lililoheshimika wakati wa Nyerere
Sasa akifungiwa mtoto wako atasoma wapi?, unajua kwamba diamond analipa kodi kupitia muziki?
Huwezi kustruggle kwa kufanya uchafu, ni kama shoga aseme anstruggle. Tuache u-zezetaIli aendelee kufanikiwa lazma afanye hayo.....Intertainment ina wababe wake ndug, dogo anastruggle sana kumantain status yake...wakat mwingine inamlazimu kuingia chocho kama hzo
Koda ya uchafu hatutaki;kodi yake ni kiduchu sana ukilinganisha na u-shetani anaoifanyaKodi yake ndio iwe sababu ya mmomonyoko wa maadili!!!!
Tz bado sana.....
HuelewekiKaanza kufanikiwa kabla "hajahamasisha" hayo unayoyasema
Mtoto anachukua kila kitu, hawezi kuchagua; ukimlisha mema anachukua ;ukimlisha uchafu anakla. Chagua mema sio mabaya; umleavyo ndivyo akuavyoWatu wanafiki sana..Unashindwa kumlea mwanao unamsingizia Diamond.
Kwanza Nilikua najiuliza huyu dogo mambo yote ya hovyo anafanya na kusamehewa lakini bado mnambeba tu?
Mbona wasanii wengine hawafanyi ujinga kuanzia maisha halisi hadi kwenye mitandao ya kijamii?
Mlichofanya mnastahili pongezi kwani mnasimamia maadili na ukiangalia nyimbo zote za huyu msanii wa hovyohovyo kitabia ni mbovu tu maadili hazina Watanzania tujifunze kussuport watu wanaojiheshimu kwenye jamii.
Hakuna uzezeta hapo....ni utaratibu tu wa kazi.... akiimba tofaut lazma atashuka..we ndo zezeta kwa sababu hujuiHuwezi kustruggle kwa kufanya uchafu, ni kama shoga aseme anstruggle. Tuache u-zezeta
Aisee hahaha kweli akili za watoto wa sasa zinahuzunisha pole sana kwa kukosa Maziwa ya Mama ndo maana ubongo wako hauelewekiSasa akifungiwa mtoto wako atasoma wapi?, unajua kwamba diamond analipa kodi kupitia muziki?