BASATA Hongereni Kumfungia Diamond na Tabia Zake za Hovyo Zisizovumilika

BASATA Hongereni Kumfungia Diamond na Tabia Zake za Hovyo Zisizovumilika

Anachokifanya Diamond ni mashart ya mganga from Hollywood.....kutoka kule ili ufanikiwe katika tasnia ya burdan lazima uhamasishe moja wapo ya hv vtu vtatu.1.Ngono 2.Uchawi. 3.Mauaji...angalia filamu zote duniani, na miziki yote lazima ihamasishe kimoja wapo...
Team mond tunawapungia
 
Kwanza Nilikua najiuliza huyu dogo mambo yote ya hovyo anafanya na kusamehewa lakini bado mnambeba tu?
Mbona wasanii wengine hawafanyi ujinga kuanzia maisha halisi hadi kwenye mitandao ya kijamii?
Mlichofanya mnastahili pongezi kwani mnasimamia maadili na ukiangalia nyimbo zote za huyu msanii wa hovyohovyo kitabia ni mbovu tu maadili hazina Watanzania tujifunze kussuport watu wanaojiheshimu kwenye jamii.
nipo against na wewe, nafikiri BASATA wanatatizo.neno nyegezi na sawa na maeneo mengine,mfano kinondoni watu huita kino,nyegezi huita nyege.Dai kafanya kosa gani?

kukudhibitishia kuwa BASATA wana matatizo wimbo wa GIGGY MONEY nyimbo yake NAMPA PAPA umefungiwa,je nampa papa na ugali ni tusi?
 
Sasa akifungiwa mtoto wako atasoma wapi?, unajua kwamba diamond analipa kodi kupitia muziki?
Upunguwani mwingjne huu, kabla Diamond uchwara hajazaliwa shule zilikuwa hakuna?

Na watoto walikuwa hawasomi shule?

Utaira wa kumuhusudu mtu kama Mungu mnutoaga/kuununua wapi ninyi vimeo?
 
Upunguwani mwingjne huu, kabla Diamond uchwara hajazaliwa shule zilikuwa hakuna?

Na watoto walikuwa hawasomi shule?

Utaira wa kumuhusudu mtu kama Mungu mnutoaga/kuununua wapi ninyi vimeo?
Kuna watu wana ushabiki wa kipumbavu, wanadhani huyo msanii ni bora kuliko jamii. Pumbavu kabisa.
 
Kaanza kufanikiwa kabla "hajahamasisha" hayo unayoyasema
Nyuma ya pazia kuna nini hasa hadi avuevue nguo jukwaani abakiwe na boksa tu?

Anavaaje vikuku miguuni nakati siyo mila na tamaduni zake tokana na kabila lake?

Anaanzaje kucheza mziki unaotazamwa hata na Mama zake akiwa na Mwanamke uchi wa mnyama(kama alivyozaliwa)???

NI USHETANI, USHETANI NA USHETWAINI.
 
Kwanza Nilikua najiuliza huyu dogo mambo yote ya hovyo anafanya na kusamehewa lakini bado mnambeba tu?
Mbona wasanii wengine hawafanyi ujinga kuanzia maisha halisi hadi kwenye mitandao ya kijamii?
Mlichofanya mnastahili pongezi kwani mnasimamia maadili na ukiangalia nyimbo zote za huyu msanii wa hovyohovyo kitabia ni mbovu tu maadili hazina Watanzania tujifunze kussuport watu wanaojiheshimu kwenye jamii.
Kimsingi watanzania tuna life la kinafki,hizi nyimbo zenye matusi hazijaanzishwa na diamond.Mmonyonyoko wa maadili hajauaanzia kwa Diamond.kumfungia diamond na kuwaacha watu waangalie utitiri wa mafilamu ya ngono yaliyozagaa mitaani kama Game of thrones,spartacus,empire na mengine mengi ni sawa na kuficha sura wakati uko uchi.Umeshajiuliza ni nyimbo ngapi za nje tunazisikiliza zina matusi ya moja kwa moja kuliko hyo nyege ya diamond?.Diamond ana mengi ya kujirekebisha lakini kumfungia asifanye mziki tena mwanamziki aliyefikia peak ya mafanikio halikubaliki hata kidogo.
 
Kwanza Nilikua najiuliza huyu dogo mambo yote ya hovyo anafanya na kusamehewa lakini bado mnambeba tu?
Mbona wasanii wengine hawafanyi ujinga kuanzia maisha halisi hadi kwenye mitandao ya kijamii?
Mlichofanya mnastahili pongezi kwani mnasimamia maadili na ukiangalia nyimbo zote za huyu msanii wa hovyohovyo kitabia ni mbovu tu maadili hazina Watanzania tujifunze kussuport watu wanaojiheshimu kwenye jamii.
Mijitu imeiba pesa za escrow IPO mtaani inatamba,..mijitu imepiga pesa Richmond,IPO mtaani inatamba,??!!
Hivi hayo maadili aliyovunja Mond yana madhara kuriko wizi wa pesa ya umma unaofanywa na maccm??
Dogo alistahili faini,serikali iingize mapato,au adhabu ya community work,kama aliyopewa Pessmbili Mramba,richa ya kutuibia pesa kibao.
Hivi kati ya Grey mgonja,Mramba,Chenge,Tibaijuka,na Mond aliyekiuka maadili ni nani??hawa majizi ya pesa ya umma au kijana anayeimba nyimbo zenye maneno yanayo ashilia matusi(kwa wengine,sio wote).
 
Back
Top Bottom