BASATA imulike tamthilia za Bongo hazina maadili

BASATA imulike tamthilia za Bongo hazina maadili

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Baraza la sanaa Tanzania niwaombe mzitazame kwa jicho la.umakini ktk muktadha wa maadili ya taifa letu, izi tamthilia za bongo ambazo zina rushwa ktk Pay tv hasa hasa za Dstv,

Zile.tamthilia naona zipo nje ya maadili yetu,. Izi story message zao ni MAPENZI MAPENZ .

Mavazi yao hasa ya wadada ni vimini, suruali za kubana zinazo akisi maumbo , hii kitu kiukweli ina haribu kizazi chetu cha baadae (watoto).
 
Baraza la sanaa Tanzania niwaombe mzitazame kwa jicho la.umakini ktk muktadha wa maadili ya taifa letu, izi tamthilia za bongo ambazo zina rushwa ktk Pay tv hasa hasa za Dstv,

Zile.tamthilia naona zipo nje ya maadili yetu,. Izi story message zao ni MAPENZI MAPENZ .

Mavazi yao hasa ya wadada ni vimini, suruali za kubana zinazo akisi maumbo , hii kitu kiukweli ina haribu kizazi chetu cha baadae (watoto).
Kizazi chetu cha baadae??
Kwani cha sasa hivi kina hali gani?
Ukipishana na wanawake 10, waliovaa vizuri hawafiki 2
 
Kwani maana ya muvi/tamthilia ni nini?

Ni sawa na mtu kulalamika amedhulumiwa kwenye kamari (amesahau kabisa lengo la mchezo wa kamari)
 
Ni kweli kabisa hilo mtoa mada, karibia zote ni zinapromote ngono hazina maadili wala hamuwezi kuangalia kama familia maana ni aibu.

Naangalia sana tamthilia za majirani zetu wakenya, wako vizuri sana kuanzia story inakua interesting hadi mavazi wanavaa vizuri. Hizi hadi mtu mzima unaangalia na unaenjoy.

Bongo movie wabadilike.
 
Waagizaji wa kike wa Bongo muvi uwezo wao kuigiza ni mdogo wanacho tegemea kuonyesha ni mipaja na ukubwa wa makalio yao ukimtoa Irene Paul
 
Mbona hata JF kila mada lazma iwe na comments zenye maudhui ya mapenzi ndo ujue wa Tz wote wamewekeza sana kwenye nyeg*
 
Baraza la sanaa Tanzania niwaombe mzitazame kwa jicho la.umakini ktk muktadha wa maadili ya taifa letu, izi tamthilia za bongo ambazo zina rushwa ktk Pay tv hasa hasa za Dstv,

Zile.tamthilia naona zipo nje ya maadili yetu,. Izi story message zao ni MAPENZI MAPENZ .

Mavazi yao hasa ya wadada ni vimini, suruali za kubana zinazo akisi maumbo , hii kitu kiukweli ina haribu kizazi chetu cha baadae (watoto).
Wee acha tu kuangalia na familia yako, hilo.ndo la muhimu
 
Baraza la sanaa Tanzania niwaombe mzitazame kwa jicho la.umakini ktk muktadha wa maadili ya taifa letu, izi tamthilia za bongo ambazo zina rushwa ktk Pay tv hasa hasa za Dstv,

Zile.tamthilia naona zipo nje ya maadili yetu,. Izi story message zao ni MAPENZI MAPENZ .

Mavazi yao hasa ya wadada ni vimini, suruali za kubana zinazo akisi maumbo , hii kitu kiukweli ina haribu kizazi chetu cha baadae (watoto).
Ndiyo hobby yao nadhani haijaanzia hapo na siyo leo mambo haya ni mwendelezo tokea huko nyuma, rejea yule waziri profesoria aliyekikumbatia kibinti kwenye dansi tena hadharani akiwa na wadhifa mkubwa kabisa nchini
 
Back
Top Bottom