Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Muambie aku sendie nyingineNami nimeamua kumtafuta rasmi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muambie aku sendie nyingineNami nimeamua kumtafuta rasmi
Mkikaaga kwenye vikao vyenu mnasema yule mwanamke anazingua au mnasema wanawake wanazingua? Mnasema mwanamke anakaa uchi au mnasema wanawake?Lakini Ndio Ukweli Sio Kwamba ww ukikaa uchi na K Yako ikaonekana sio Kwamba Hata k ya Demi imeonekana pia, usipojistilj ww Usitegemee Wanawake Wote hawatajistili
Siwezi ku-generalize Wakati aliekaa uchi Anajulikana, Yaani Ukae Uchi Ww Tuseme Wanawake Wote Wameketi Uchi?Mkikaaga kwenye vikao vyenu mnasema yule mwanamke anazingua au mnasema wanawake wanazingua? Mnasema mwanamke anakaa uchi au mnasema wanawake?
Wanawake wanazingua bwana.Siwezi ku-generalize Wakati aliekaa uchi Anajulikana, Yaani Ukae Uchi Ww Tuseme Wanawake Wote Wameketi Uchi?
Mkuu mpaka shanga umeziona kweli watu mnazoomSema tuache utani..demu akivaa cheni mfano ya gold kiunoni au shanga moja au mbili zile kama za gold huwa wanaua sana..
Hiyo pic mbona ya kawaida kulingana na mazingira aliyopo BASATA waache ushamba..Wakuu Taarifa Zilizopo Ni Kwamba, Baraza La Sanaa Tanzania (Basata) wanasaka Kwa Udi na Uvumba Msanii Linah Sanga Kwa Kupiga Picha Ambazo Sio Nzuri Kwenye Jamii. Je Linah Sanga amekosea Kupiga Picha Kama Hii?View attachment 1825622
Ramani ni moja elewaKuvaa uchi avae mwingine hlf wanawake wote waonekane hawana akili, napingana na Hilo.
Kila mtu ana uchi wake...wewe ukikaa uchi utaaibika wewe na si mwingine.
Ni sawa na kusema video ya Amber Ruth imekuathiri unaona Kama ni wewe umeaibika. Haipo hivyo.
By the way maumbile ya uchi ni yale yale
.
.
Mentality ya ajabu sana.
Muhimu..Mkuu mpaka shanga umeziona kweli watu mnazoom
Duuh...ushajipigia sio?.Tatizo lake urefu na mbususu imekosa urojo wa kutosha lakini kwa mzigo upo wakutosha tu.
So?Ramani ni moja elewa
Wamenidukua tu mkuu nimeshindwa kuiondoaMkuu hiyo avatar yako.
Kwa muonekano yes, hata nyie mnafananaKiongozi, Hivi Kumbe Maumbile Yenu Ya Uchi Yanafanana?
Wamekosa kazi aiseeWakuu Taarifa Zilizopo Ni Kwamba, Baraza La Sanaa Tanzania (Basata) wanasaka Kwa Udi na Uvumba Msanii Linah Sanga Kwa Kupiga Picha Ambazo Sio Nzuri Kwenye Jamii. Je Linah Sanga amekosea Kupiga Picha Kama Hii?View attachment 1825622
Ni ile ile.....
HaHahahaMuambie aku sendie nyingine
Ni sawa, lkn sitaaibika mimi Kama mwenzangu kakaa uchi.Ni ile ile.....
hiyo yako haina tofauti na yule aliyekaa uchi
Tofautisha kati ya ramani na vitendo.....Ni sawa, lkn sitaaibika mimi Kama mwenzangu kakaa uchi.
Kwahiyo tuseme vile James delicious anavyojichezesha na kujibebisha na ushoga wake wanaune wote mnaonekana mashoga
Kwani Linah kaimba wimbo mbaya? Basata waache kuwapangia wasanii namna ya kuvaa wao wabaki kwenye mistari ya mashairi ya nyimbo tu, ipo siku watathubutu kuwapangia hata vyakulaWakuu Taarifa Zilizopo Ni Kwamba, Baraza La Sanaa Tanzania (Basata) wanasaka Kwa Udi na Uvumba Msanii Linah Sanga Kwa Kupiga Picha Ambazo Sio Nzuri Kwenye Jamii. Je Linah Sanga amekosea Kupiga Picha Kama Hii?View attachment 1825622