BASATA kaeni mkao wa kula, Video ya Chura anarukaruka, ikitoka fungia kisha tia Kapuni

BASATA kaeni mkao wa kula, Video ya Chura anarukaruka, ikitoka fungia kisha tia Kapuni

Vyura wa snura walikuwa hata wakiwa wagonjwa wanaruka ruka vitandani
 
Mkemia mkuu angechukua hatua kumpina Snura vinasaba atakuwa co mchaga,hakuna mchaga anaeweza kufanya hivyo,mama wa kichaga alich.....puk.....aaa wapi,mwachieni chura atambe,usikonde dada mbona wakati wa kampeni walikuachia watakuachia tu ombea mbunge afe twende kwenye kampeni huu huu wimbo wa chura wataugeuza uwe wa chama.
 
Hongera kwa kuuangalia wimbo mzima na pengine zaidi ya mara moja na kutoa ushauri wako. Ngoja na sisi tuutizame tuone kasoro zenye kasoro ili tuungane mkono ktk hili.
 
Mkemia mkuu angechukua hatua kumpina Snura vinasaba atakuwa co mchaga,hakuna mchaga anaeweza kufanya hivyo,mama wa kichaga alich.....puk.....aaa wapi,mwachieni chura atambe,usikonde dada mbona wakati wa kampeni walikuachia watakuachia tu ombea mbunge afe twende kwenye kampeni huu huu wimbo wa chura wataugeuza uwe wa chama.
Na lileblijachama linapendaga sana mambo ya vyura
Frogi izi jampingi jampingi frogi, frogi izi baunsingi baunsingi frogi..... Its me Snura of Disasters[/qoute]
 
Heshima kwenu wakuu,

Hii video ya Snura ya Wimbo wa Chura anarukaruka, ikitoka tu naomba ifungiwe. Mkishaifungia mumpige msanii marufuku ya kujihusisha na Muziki kwa Miaka mitatu. Hatuwezi endelea kulealea huu ujinga.

Kama mliweza kuufungia Wimbo wa Roma wa Viva Roma Viva ambao haukua na tatizo katika Swala la maadili, naamin huu wimbo ukitoka msanii atawekwa mbaroni hata siku mbili.

Imetosha sasa kwa hawa dada zetu kujifanya eti wamepinda, wao ndo wanajua kukata mauno, wao ndo wanajua kutembea uchi.

Naomba BASATA msiangalie Nyani usoni

==========

Updates;

Asanteni BASATA, hakika mumeonesha mlivyo makini na kazi yenu, Taasisi na Mashirika ya Serikali yote yangekuwa kama ninyi, Tanzania tungekua mbali sana katika hatua ya maendeleo.

Hii habari imenifariji=>Msanii Snura afungiwa kujihusisha na sanaa, TCRA waagizwa kuifuta video ya Chura mtandaoni
Unajifanya wewe ndio unajua zaidi maadili kuliko wengine. Acha kujikomba wewe ukuu wa wilaya hutapata ngo!!
 
yaani hawa wasanii tangu washirikishwe kwenye kampeni basi wanajikuta na wao ni viongozi, haya sasa aende kwa mama samia akawasemelee waliomfungia.
halafu anataka kuongea na waandishi wa habari kama vip wangemfungia hata kuzungumza hadharani tu...
 
Chura pambee huwa nakata mauno hatareeee mwanamke kiuno feniiii
 
Mweeeeee bunge wamegoma kutuonyesha live na hawa wengine kwa ukatili wao wametuondolea na chura wetu ivi tutakua wageni wa nani sisi mpaka burudani ya kuongeza siku mnaifuta basi rudisheni bunge movie tushachoka maana soon mtasema hakuna kulala wawili wawili ilimradi mtutenge na wake zetu [emoji57][emoji57][emoji57]
 
Pity to see it that way, it's only a matter of time before Nicky Minaj or Beyonce take over the dance make millions from it and people of Tanzania will be spending their hard earned cash buying music DVDs from these americans.
 
Heshima kwenu wakuu,

Hii video ya Snura ya Wimbo wa Chura anarukaruka, ikitoka tu naomba ifungiwe. Mkishaifungia mumpige msanii marufuku ya kujihusisha na Muziki kwa Miaka mitatu. Hatuwezi endelea kulealea huu ujinga.

Kama mliweza kuufungia Wimbo wa Roma wa Viva Roma Viva ambao haukua na tatizo katika Swala la maadili, naamin huu wimbo ukitoka msanii atawekwa mbaroni hata siku mbili.

Imetosha sasa kwa hawa dada zetu kujifanya eti wamepinda, wao ndo wanajua kukata mauno, wao ndo wanajua kutembea uchi.

Naomba BASATA msiangalie Nyani usoni

==========

Updates;

Asanteni BASATA, hakika mumeonesha mlivyo makini na kazi yenu, Taasisi na Mashirika ya Serikali yote yangekuwa kama ninyi, Tanzania tungekua mbali sana katika hatua ya maendeleo.

Hii habari imenifariji=>Msanii Snura afungiwa kujihusisha na sanaa, TCRA waagizwa kuifuta video ya Chura mtandaoni
Sasa wewe unanufaika na nini?
 
Back
Top Bottom