mkonongo1938
JF-Expert Member
- Jan 22, 2016
- 1,990
- 2,398
Vyura wa snura walikuwa hata wakiwa wagonjwa wanaruka ruka vitandani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Frogi izi jampingi jampingi frogi, frogi izi baunsingi baunsingi frogi..... Its me Snura of Disasters[emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji87] [emoji87] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Na lileblijachama linapendaga sana mambo ya vyuraMkemia mkuu angechukua hatua kumpina Snura vinasaba atakuwa co mchaga,hakuna mchaga anaeweza kufanya hivyo,mama wa kichaga alich.....puk.....aaa wapi,mwachieni chura atambe,usikonde dada mbona wakati wa kampeni walikuachia watakuachia tu ombea mbunge afe twende kwenye kampeni huu huu wimbo wa chura wataugeuza uwe wa chama.
Frogi izi jampingi jampingi frogi, frogi izi baunsingi baunsingi frogi..... Its me Snura of Disasters[/qoute]
Unajifanya wewe ndio unajua zaidi maadili kuliko wengine. Acha kujikomba wewe ukuu wa wilaya hutapata ngo!!Heshima kwenu wakuu,
Hii video ya Snura ya Wimbo wa Chura anarukaruka, ikitoka tu naomba ifungiwe. Mkishaifungia mumpige msanii marufuku ya kujihusisha na Muziki kwa Miaka mitatu. Hatuwezi endelea kulealea huu ujinga.
Kama mliweza kuufungia Wimbo wa Roma wa Viva Roma Viva ambao haukua na tatizo katika Swala la maadili, naamin huu wimbo ukitoka msanii atawekwa mbaroni hata siku mbili.
Imetosha sasa kwa hawa dada zetu kujifanya eti wamepinda, wao ndo wanajua kukata mauno, wao ndo wanajua kutembea uchi.
Naomba BASATA msiangalie Nyani usoni
==========
Updates;
Asanteni BASATA, hakika mumeonesha mlivyo makini na kazi yenu, Taasisi na Mashirika ya Serikali yote yangekuwa kama ninyi, Tanzania tungekua mbali sana katika hatua ya maendeleo.
Hii habari imenifariji=>Msanii Snura afungiwa kujihusisha na sanaa, TCRA waagizwa kuifuta video ya Chura mtandaoni
yametimia.........
Sasa wewe unanufaika na nini?Heshima kwenu wakuu,
Hii video ya Snura ya Wimbo wa Chura anarukaruka, ikitoka tu naomba ifungiwe. Mkishaifungia mumpige msanii marufuku ya kujihusisha na Muziki kwa Miaka mitatu. Hatuwezi endelea kulealea huu ujinga.
Kama mliweza kuufungia Wimbo wa Roma wa Viva Roma Viva ambao haukua na tatizo katika Swala la maadili, naamin huu wimbo ukitoka msanii atawekwa mbaroni hata siku mbili.
Imetosha sasa kwa hawa dada zetu kujifanya eti wamepinda, wao ndo wanajua kukata mauno, wao ndo wanajua kutembea uchi.
Naomba BASATA msiangalie Nyani usoni
==========
Updates;
Asanteni BASATA, hakika mumeonesha mlivyo makini na kazi yenu, Taasisi na Mashirika ya Serikali yote yangekuwa kama ninyi, Tanzania tungekua mbali sana katika hatua ya maendeleo.
Hii habari imenifariji=>Msanii Snura afungiwa kujihusisha na sanaa, TCRA waagizwa kuifuta video ya Chura mtandaoni