Mkuu naona unawapa statutory interpretationTusitafute technicalities na kujificha kwenye plain meaning za maneno, hapa tutumie overriding objective principles, tufuate substantive justice je vijana wetu wanapousikia mstari huo wanahamasika kufanya nini katika akili ya kawaida?
Hahaha sheria ni msumenoKuna mwingine anasema weka mate niteleze kama nyoka pangoni..naamini alimaanisha kwa mpalange. Huyu ndo afungwe kabisaaaa [emoji2][emoji2]
Ulisha wahi kuwasimulia humu wanaoimba matusi?Kiukweli nimefadhaika sana baada ya kusikiliza wimbo mpya wa Dada Mkuu, Komando na Malkia wa Bongo flava Lady Jaydee uitwao One Time. Humo ndani Jide anahamasisha uvutaji bangi hadharani, hasa mstari wake unaosema "tusmoke weed one time".
Natoa rai kwa Baraza La Sanaa nchini BASATA kumchukulia hatua kali mwanadada huyu ili iwe fundisho kwa wengine. Napendekeza wimbo huo ufungiwe na yeye awe admonished and suspended kwa mwaka mmoja na ikiwa wimbo husika upo kwenye album album husika ipigwe stop
Hamna namna maana naona wanakimbilia kwenye plain meaning tehe teheMkuu naona unawapa statutory interpretation
Kwahiyo wewe unadhani anaposema weed anamaanisha tumbaku?
Kiukweli nimefadhaika sana baada ya kusikiliza wimbo mpya wa Dada Mkuu, Komando na Malkia wa Bongo flava Lady Jaydee uitwao One Time. Humo ndani Jide anahamasisha uvutaji bangi hadharani, hasa mstari wake unaosema "tusmoke weed one time".
Natoa rai kwa Baraza La Sanaa nchini BASATA kumchukulia hatua kali mwanadada huyu ili iwe fundisho kwa wengine. Napendekeza wimbo huo ufungiwe na yeye awe admonished and suspended kwa mwaka mmoja na ikiwa wimbo husika upo kwenye album album husika ipigwe stop
Tusitafute technicalities na kujificha kwenye plain meaning za maneno, hapa tutumie overriding objective principles, tufuate substantive justice je vijana wetu wanapousikia mstari huo wanahamasika kufanya nini katika akili ya kawaida?
Weed maana yake nini? Au neno weed kwa kiswahili ni nini hasa?Kwahiyo wewe unadhani anaposema weed anamaanisha tumbaku?
Kwa sasa yupp marekani kuimba kiitikio acha arudiKama tumefika uko,afungiwe na anayetaka msabwanda wa buku jero
Wa kwanza kufungiwa alitakiwa awe yule mtu aliyewauliza wale watu kama wanataka kupanuliwa.Kiukweli nimefadhaika sana baada ya kusikiliza wimbo mpya wa Dada Mkuu, Komando na Malkia wa Bongo flava Lady Jaydee uitwao One Time. Humo ndani Jide anahamasisha uvutaji bangi hadharani, hasa mstari wake unaosema "tusmoke weed one time".
Natoa rai kwa Baraza La Sanaa nchini BASATA kumchukulia hatua kali mwanadada huyu ili iwe fundisho kwa wengine. Napendekeza wimbo huo ufungiwe na yeye awe admonished and suspended kwa mwaka mmoja na ikiwa wimbo husika upo kwenye album album husika ipigwe stop