BASATA mfungieni Lady Jaydee anahamasisha uvutaji bangi hadharani

BASATA mfungieni Lady Jaydee anahamasisha uvutaji bangi hadharani

Tusitafute technicalities na kujificha kwenye plain meaning za maneno, hapa tutumie overriding objective principles, tufuate substantive justice je vijana wetu wanapousikia mstari huo wanahamasika kufanya nini katika akili ya kawaida?
Mkuu naona unawapa statutory interpretation
 
Kiukweli nimefadhaika sana baada ya kusikiliza wimbo mpya wa Dada Mkuu, Komando na Malkia wa Bongo flava Lady Jaydee uitwao One Time. Humo ndani Jide anahamasisha uvutaji bangi hadharani, hasa mstari wake unaosema "tusmoke weed one time".

Natoa rai kwa Baraza La Sanaa nchini BASATA kumchukulia hatua kali mwanadada huyu ili iwe fundisho kwa wengine. Napendekeza wimbo huo ufungiwe na yeye awe admonished and suspended kwa mwaka mmoja na ikiwa wimbo husika upo kwenye album album husika ipigwe stop

Ulisha wahi kuwasimulia humu wanaoimba matusi?
 
Kwahiyo wewe unadhani anaposema weed anamaanisha tumbaku?
1600239252793.png
 
Kiukweli nimefadhaika sana baada ya kusikiliza wimbo mpya wa Dada Mkuu, Komando na Malkia wa Bongo flava Lady Jaydee uitwao One Time. Humo ndani Jide anahamasisha uvutaji bangi hadharani, hasa mstari wake unaosema "tusmoke weed one time".

Natoa rai kwa Baraza La Sanaa nchini BASATA kumchukulia hatua kali mwanadada huyu ili iwe fundisho kwa wengine. Napendekeza wimbo huo ufungiwe na yeye awe admonished and suspended kwa mwaka mmoja na ikiwa wimbo husika upo kwenye album album husika ipigwe stop


1600239335810.png
 
Wivu na chuki binafsi zinakusumbua.Kwani bangi ni mbaya kiasi hicho had utake apewe adhabu yote hiyo kwakuitaja tu.Kuna wabunge waliongea hadi bungeni kua ihalalishwe kama zao la biashara nao vip wafanyejwe?.Swala la bangi kua mihadarati ni sera tu ya nchi ata kesho inaweza kubadilishwa kwahiyo acha kuiona bangi au kuitaja kama jambo ovu sana.
 
Jikite kwenye kuhamasisha vijana wajitambue na wawe na akili huru na maarifa yakutambua jema na baya.Tusiishi kwenye zama zakujiona niwatu tusiojielewa hadi tuwekeane mipaka yakuona nakusikia.Kwasababu hutaweza kufungia vyote,utafunga wimbo wa Jide vijana watasikia wimbo wa Lil wyne nazingine uko duniani sasa utakua umerekebisha nini.
Tusitafute technicalities na kujificha kwenye plain meaning za maneno, hapa tutumie overriding objective principles, tufuate substantive justice je vijana wetu wanapousikia mstari huo wanahamasika kufanya nini katika akili ya kawaida?
 
BASATA yenyewe haina makali yoyote, ni Wazembe tu

Kwanini wasijudge wimbo kabla ya kutoka wanasubiri baada ya kusikilizwa ndio wakosoe

Wajinga kabisa hawa.
 
Kiukweli nimefadhaika sana baada ya kusikiliza wimbo mpya wa Dada Mkuu, Komando na Malkia wa Bongo flava Lady Jaydee uitwao One Time. Humo ndani Jide anahamasisha uvutaji bangi hadharani, hasa mstari wake unaosema "tusmoke weed one time".

Natoa rai kwa Baraza La Sanaa nchini BASATA kumchukulia hatua kali mwanadada huyu ili iwe fundisho kwa wengine. Napendekeza wimbo huo ufungiwe na yeye awe admonished and suspended kwa mwaka mmoja na ikiwa wimbo husika upo kwenye album album husika ipigwe stop

Wa kwanza kufungiwa alitakiwa awe yule mtu aliyewauliza wale watu kama wanataka kupanuliwa.
 
Back
Top Bottom