BASATA mtusaidie huu wimbo jana umenajisi kitongoji chetu siku nzima

BASATA mtusaidie huu wimbo jana umenajisi kitongoji chetu siku nzima

🤣🤣🤣🤣pwani hyo unasikia mwaga maji tucheze kama kambale hapo sehemu za siri zinakuwa nje zote
 
Huko pwani kucheza ngoma na hayo manyimbo ya kijinga kijinga ndo kapaumbele chao, ndo maana madaktari na maprofesa wenye asili ya pwani inabidi uwatafute kwa tochi, sasa ukikaa uswahilini lazima ukutane na changamoto kama hizi.
Unaweza kuprove?
 
Mkuu singeli sio nyimbo za watu wa pwani.

Hizo singeli kila mtu anaimba mbona.
Sehemu ya kwanza kuzisikia ni kisarawe huko Kabla ya hapo huko Baraka sikuwahi kuzisikia.

Hata waimbaji huwa naona wanaimba kizaramozaramo hivi
 
Sehemu ya kwanza kuzisikia ni kisarawe huko Kabla ya hapo huko Baraka sikuwahi kuzisikia.
Hizo nyimbo unaweza kuzisikia popote hivyo kuzisikia kisarawe kwa mara ya kwanza haijustify ni nyimbo za pwani.

Hizo nyimbo chimbuko lake ni uswahilini.
Hata waimbaji huwa naona wanaimba kizaramozaramo hivi
Sasa wazaramo hawaimbi singeli bali ngoma zao za asili.

Hao wanaoimba singeli labda wanaiga miondoko ya ngoma za watu wa pwani na sio kwamba ni nyimbo za pwani.
Considering wazaramo hawaimbi matusi.

Hizo nyimbo unaweza kuziita za uswahilini lakini sio za pwani.
 
Hizo nyimbo unaweza kuzisikia popote hivyo kuzisikia kisarawe kwa mara ya kwanza haijustify ni nyimbo za pwani.

Hizo nyimbo chimbuko lake ni uswahilini.

Sasa wazaramo hawaimbi singeli bali ngoma zao za asili.

Hao wanaoimba singeli labda wanaiga miondoko ya ngoma za watu wa pwani na sio kwamba ni nyimbo za pwani.
Considering wazaramo hawaimbi matusi.

Hizo nyimbo unaweza kuziita za uswahilini lakini sio za pwani.
Huko mikoani kuna sehemu nyingi mno za uswahilini lakini huwezi kusikia huo uchafu.

Labda tuseme uswahilini mwa pwani
 
Back
Top Bottom