nchi ya kilokole hii, wanavaaje nusu uchi hadharani? ila ashukuru ni Tz
Ingekua Saud Arabia afu unaonyesha vitako vyako hadharani namna hiyo, mbona wana...
kugonga mawe hapohapo stejini then wanakutundika, yani ungekuta saizi.......
tunazungumzia mengine.
Ila hawa si ndo walikuwa wanajikomba na kuwapigia kampeni? ina maana.........
hawajaonewa huruma na kujikomba kote kule? mhhh kumbe ni swala la mda tuu.....
sikujua ka ipo siku watajakalia kuti la moto, laah!!! kumbe namba inasomwa na wote....
duh Aloo!!! ama kweli ukistaajab ya wasafi na kina gigy utayaona ya Basata na Tcra