BASATA: Tulimzuia Nay wa Mitego kufanya shoo kwa kuwa amekataa wito wetu mara mbili

'Maadili ya msanii'!! Wengine nyimbo zao ni ngono mwanzo mwisho, wako salama! Hii Serikali , kuanzia rais ni mauzauza, maadili kwa rais anaona maaskofu hawatekelezi wajibu wao kwa usahihi, wakati yeye binafsi anazungurukwa na wasanii wanaoiharibu jamii kwa taswira na jumbe zao zilizokengeuka, hawaoni kwa sababu wanampa ulaji, upigaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…