Watoto sahv akili zao zimejaa bongo fleva tuJuzijuzi nilikuwa nasikiliza kipindi cha watoto weekend kwenye redio hizi za mikoani, kwenye muda wa vipaji kuna katoto ka kike kalikuwa kanaimba wimbo wa fire wa zuchu bila kukosea yani.
Kuna katoto ka miaka mitano. Aisee kanainama kanakata mauno hadi nikajishangaa inakuaje mimi siweziWatoto sahv akili zao zimejaa bongo fleva tu
Soon bongo itakuwa kama kongo
Yaani ukataji mauno ndiyo issue namba 1
Ova
Nini..?Hadi wanaume wana chutama na kutingisha makalio.
Balehe inawasumbua hawa😅Kama hawa,taifa la bongo fleva
Vichwa vmejaa bongo fleva,kuna kufaulu hapa
Ova
View attachment 2405348
Kuna waziri wa Nishati na Madini mtarajiwa hapoHamna kitu hapo zeroooo kabisa
Ova
Singeli ni mziki wa hovyoooo..Unayajua mashairi ya Singeli? Utunzi wa Singeli ni ugonjwa mwingine.
Kama hawa,taifa la bongo fleva
Vichwa vmejaa bongo fleva,kuna kufaulu hapa
Ova
View attachment 2405348