BASATA wapige marufuku wadada kucheza kwa kuinama wakitingisha makalio

BASATA wapige marufuku wadada kucheza kwa kuinama wakitingisha makalio

Imekua kero sana, nyimbo nyingi lazima wadada wainame mfano wa kuchuma mboga au walale mfano wa chura kisha wanatingisha makalio, huu ni udhalilishaji na kuchochea mmomonyoko wa maadili, kingine hizi nyimbo zinatumika katika mabasi ya mkoani, imekua tabu ukiwa na watu unaowaheshimu,
Kutafutwe style nyingine, kuokoa kizazi na uchafu
kazi ya sanaa ni kufundisha na kubirudisha
 
Imekua kero sana, nyimbo nyingi lazima wadada wainame mfano wa kuchuma mboga au walale mfano wa chura kisha wanatingisha makalio, huu ni udhalilishaji na kuchochea mmomonyoko wa maadili, kingine hizi nyimbo zinatumika katika mabasi ya mkoani, imekua tabu ukiwa na watu unaowaheshimu,
Kutafutwe style nyingine, kuokoa kizazi na uchafu
😁😁😁 aiseee nchi hii wanaiga mikao ya wadudu
 
Onyesha hiyo staili unayotaka mkuu ambayo ni ya heshma kuliko hiyo ya kuinama,nashauri wakiiweka hiyo staili usiyoitaka unajifanya umelala kumbe janja yako.
 
Kuna mtu leo nmesikia kaweka " sijui nikirudiana na X wangu nampakia mkongo, namwinamisha na mgongo" aisee nilikua na mzee nilijiskia aibu sana
Nikawaza hivi wimbo kama huu umepitaje BASATA
hapo mzee kimya kimya anakuangalia kisha anasikiliza maudhui ya nyimbo kisha anatulia tu,
 
Nashangazwa sn mnaposema wanadhalilisha wanawake na akat wanaocheza wenyewe ni wanawake na wamekubali wenyewe bila kushurutishwa na wengi wao wanapenda wanachokifanya asa apo udhalilishwaji unatoka wapi
 
Upumbavu tu... ishu ikishaambiwa ni haramu basi ni haramu tu hata ipambwe vipi lazima utakuja kuona matokeo yake mbeleni
 
Back
Top Bottom