Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
kazi ya sanaa ni kufundisha na kubirudishaImekua kero sana, nyimbo nyingi lazima wadada wainame mfano wa kuchuma mboga au walale mfano wa chura kisha wanatingisha makalio, huu ni udhalilishaji na kuchochea mmomonyoko wa maadili, kingine hizi nyimbo zinatumika katika mabasi ya mkoani, imekua tabu ukiwa na watu unaowaheshimu,
Kutafutwe style nyingine, kuokoa kizazi na uchafu
Jifunze nawe, kata uno ilo.!Kuna katoto ka miaka mitano. Aisee kanainama kanakata mauno hadi nikajishangaa inakuaje mimi siwezi
Uno limegoma mkuuJifunze nawe, kata uno ilo.!
zile beats zao tu zinamfanya mtu akili iende raceUnayajua mashairi ya Singeli? Utunzi wa Singeli ni ugonjwa mwingine.
😁😁😁 aiseee nchi hii wanaiga mikao ya waduduImekua kero sana, nyimbo nyingi lazima wadada wainame mfano wa kuchuma mboga au walale mfano wa chura kisha wanatingisha makalio, huu ni udhalilishaji na kuchochea mmomonyoko wa maadili, kingine hizi nyimbo zinatumika katika mabasi ya mkoani, imekua tabu ukiwa na watu unaowaheshimu,
Kutafutwe style nyingine, kuokoa kizazi na uchafu
😂😂😂Balehe inawasumbua hawa😅
Daaah hatariiizile beats zao tu zinamfanya mtu akili iende race
Usicho elewa ni kipi?Nini..?
Kwahiyo zile wezere ndo zinaburudisha au sio?!! 😀kazi ya sanaa ni kufundisha na kubirudisha
Kuna mtu leo nmesikia kaweka " sijui nikirudiana na X wangu nampakia mkongo, namwinamisha na mgongo" aisee nilikua na mzee nilijiskia aibu sanaUnayajua mashairi ya Singeli? Utunzi wa Singeli ni ugonjwa mwingine.
hapo mzee kimya kimya anakuangalia kisha anasikiliza maudhui ya nyimbo kisha anatulia tu,Kuna mtu leo nmesikia kaweka " sijui nikirudiana na X wangu nampakia mkongo, namwinamisha na mgongo" aisee nilikua na mzee nilijiskia aibu sana
Nikawaza hivi wimbo kama huu umepitaje BASATA
Sasa si wapigwe miti watulie tu.Balehe inawasumbua hawa😅