Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Ila BASATA mmekuwa zaidi ya mizigo! Kwa hawa watu wote wanaotekwa na kuwataja polisi 🤣 🤣 au wenzetu hamjui Kiswahili. Mapana naona ndio utakuwa kiongozi kituko kuwahi kutokea tokea BASATA ianzishwe!
Halafu serikali na CCM hamjifunzi, yaani mnarudia mambo yale yale ambayo yakuja ku backfire, mnareact ovyo ovyo bila kujipanga. Mngeuchuna wala huu wimbo usingekuwa ishu, sasa mnafanya hata wale ambao hawakuusikia wameze vizuri mstari hadi mstari halafu mje muwaambie alichopotoshwa Nay ambacho hakijawahi kusemwa na wahanga ni kipi!
=====
Alichojibu Nay wa Mitego baada ya barua hii,
Hii barua ya kufungia wimbo wa 'Nitasema'. Yaani unafungia wimbo ambao mnajua kabisa hakuna media inapiga kwenye nchi hii coz media zote ni chawa wa serikali. BASATA Tanzania haya mąkosa mbona hamkuyaandika kwenye ile hati ya mashtaka mliyonipa?!
Kwaiyo haya ndio mąkosa waliyoyaona na kuufungia wimbo na sijui wanaufungia wapi sasa? Maana hakuna media inapiga nyimbo zangu na nilishasahau mambo ya nyimbo zangu kupigwa radioni sijui kwenye TV!
Kosa la pili mimi mwenyewe ni shahidi nilikosoa kwenye wimbo wangu #wapo nikakamatwa na police na dunia inajua hilo.
Kosa la kwanza tumeona mara kadhaa wanaotekwa na kubahatika kupatikana hai wakisema walio kuja kuwateka walijitambulisha kama police.
Nadhani wote tunajua huu wimbo hauna tatizo ata kidogo na ni wimbo wa kila mtanzania mwenye kupenda amani na upendo viendelee kuta wala nchini kwetu.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Haya ndiyo makosa ambayo BASATA wanamtuhumu Nay wa Mitego kutokana na wimbo wake wa Nitasema
- Ney wa Mitego aitwa BASATA kujadili wimbo wake wa ‘Nitasema’
Ila BASATA mmekuwa zaidi ya mizigo! Kwa hawa watu wote wanaotekwa na kuwataja polisi 🤣 🤣 au wenzetu hamjui Kiswahili. Mapana naona ndio utakuwa kiongozi kituko kuwahi kutokea tokea BASATA ianzishwe!
Halafu serikali na CCM hamjifunzi, yaani mnarudia mambo yale yale ambayo yakuja ku backfire, mnareact ovyo ovyo bila kujipanga. Mngeuchuna wala huu wimbo usingekuwa ishu, sasa mnafanya hata wale ambao hawakuusikia wameze vizuri mstari hadi mstari halafu mje muwaambie alichopotoshwa Nay ambacho hakijawahi kusemwa na wahanga ni kipi!
=====
Hii barua ya kufungia wimbo wa 'Nitasema'. Yaani unafungia wimbo ambao mnajua kabisa hakuna media inapiga kwenye nchi hii coz media zote ni chawa wa serikali. BASATA Tanzania haya mąkosa mbona hamkuyaandika kwenye ile hati ya mashtaka mliyonipa?!
Kwaiyo haya ndio mąkosa waliyoyaona na kuufungia wimbo na sijui wanaufungia wapi sasa? Maana hakuna media inapiga nyimbo zangu na nilishasahau mambo ya nyimbo zangu kupigwa radioni sijui kwenye TV!
Kosa la pili mimi mwenyewe ni shahidi nilikosoa kwenye wimbo wangu #wapo nikakamatwa na police na dunia inajua hilo.
Kosa la kwanza tumeona mara kadhaa wanaotekwa na kubahatika kupatikana hai wakisema walio kuja kuwateka walijitambulisha kama police.
Nadhani wote tunajua huu wimbo hauna tatizo ata kidogo na ni wimbo wa kila mtanzania mwenye kupenda amani na upendo viendelee kuta wala nchini kwetu.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Haya ndiyo makosa ambayo BASATA wanamtuhumu Nay wa Mitego kutokana na wimbo wake wa Nitasema
- Ney wa Mitego aitwa BASATA kujadili wimbo wake wa ‘Nitasema’