BASATA waufungie wimbo wa Albert Mangwea

Huwa najiuliza wale jamaa wanaojigeuza wanawake wakati bado limnyororo linaning'ing'inia huwa wanakojoa wamesimama au?

Na wale tomboy(vidada vinavyong'ang'ania uanaume wakati vina mbusus)na wenyewe wanakojoa wamesimama au?
KWanini mnataka Kukojoa Huku mmsesimama??? Mtume Muhamad alisema watu wote Mpaka wanaume inapaswa wakojoe Kwa kuchuchumaa
 
Huwa najiuliza wale jamaa wanaojigeuza wanawake wakati bado limnyororo linaning'ing'inia huwa wanakojoa wamesimama au?

Na wale tomboy(vidada vinavyong'ang'ania uanaume wakati vina mbusus)na wenyewe wanakojoa wamesimama au?
KWanini mnataka Kukojoa Huku mmsesimama??? Mtume Muhamad alisema watu wote Mpaka wanaume inapaswa wakojoe Kwa kuchuchumaa
 
Mi ni mwanamke ila bado sijaona point yako,kwani hujui kama sisi hatuwezi kojoa tumesimama?

Labda yeye anasimama,,, Mambo ni mengi kizazi hiki... Wanadai wanakwepa UTI...

Wakati bado unastaajabu ya Musa basi haya pia utayaona kizazi hiki..
 
KWanini mnataka Kukojoa Huku mmsesimama??? Mtume Muhamad alisema watu wote Mpaka wanaume inapaswa wakojoe Kwa kuchuchumaa

Ukichuchumaa wewe inatosha....

Tuache Wanaume na utaratibu wetu.
 
Punguza udini mkuu. Kila jumapili naenda kanisani. Hivyo masuala ya dini yana sehemu yake
KWanini mnataka Kukojoa Huku mmsesimama??? Mtume Muhamad alisema watu wote Mpaka wanaume inapaswa wakojoe Kwa kuchuchumaa
 
Afadhali wewe umeliona hilo Mkuu. Ule wimbo ni wimbo wa Hovyo sana na inaonesha ni namna gani hawa wanaojiita Maproducer wa Muziki wa Bongo walivyokuwa hovyo. Unaachaje wimbo wenye maneno kama hayo utoke ndani ya Studio yako?
 
"najua hamwezi kwenda haja ndogo mmesimama,
lakini mnaweza fanya kila kitu tunafanya"
wewe ndio ulimwelewa vibaya ila hakuimba uinga unaouwaza

Mkuu umemaliza hiphop si kwaajili ya kila mtu.
 
Huu Ni utaratibu aliowuweka Mungu(Allah) kwaajili ya wanaume wote

Endelea nao wewe huo utaratibu Mkuu,,, usitake Wanaume wote tuone ni sahihi..

Logically Maumbile yanakataa Mwanaume kukojoa kachuchumaa,, na ya Kike pia yanakataa Mwanamke kukojoa amesimama...
 
Endelea nao wewe huo utaratibu Mkuu,,, usitake Wanaume wote tuone ni sahihi..

Logically Maumbile yanakataa Mwanaume kukojoa kachuchumaa,, na ya Kike pia yanakataa Mwanamke kukojoa amesimama...
Kwahyo Allah alikosea kusema wanaume wachuchumae?
 
Kwahyo Allah alikosea kusema wanaume wachuchumae?

NDIO amekosea... ndio maana Dunia nzima wanaume wanakojoa wamesimama......

Nenda vyoo vyote vya Public,, Mashuleni,, Kuchimba dawa unapo safiri kama utaona Mwanaume anakojoa amechuchumaa...

Huu U J I N G A sijui mnautoa wapi kizazi hiki..
 
"Najua hamuwezi kwenda haja ndogo huku mmesimama lakina mnaweza fanya kila kitu si tunachofanya"..sasa hapo kakosea nn??
 
Dah sasa umezidi na wewe ,kwani ni uongo mnakojoaga mme simama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…