BASATA wawasamehe Diamond na Rayvanny kwa masharti maalumu

BASATA wasanii watazidi kuwadharau kwa mtindo huu,adhabu hata haijatumikiwa wameshaiondoa mbona kwenye mpira hatuoni mambo kama hayo!Hao wamesafirije na huku walishanyimwa kufanya show?lazima walijua haiishi siku watasamehewa
 
Unataka umshauri akiwa anaangalia channel zingine watoto wakalale ?


Huwezi kuangalia baadhi ya vipindi vya TV wakati watoto wako hapo. Watoto wana vipindi vyao maalum, ukibisha aidha huna watoto au TV au vyote.
 
Huwezi kuangalia baadhi ya vipindi vya TV wakati watoto wako hapo. Watotowana vipindi vyao maalum, ukibisha aidha huna watoto au TV au vyote.
Mkuu naelewa
Ila hoja yangu ni kuwa.nyie wenye watoto.uko sebuleni unacheki TV au unachat JF huku TV iko on ghafla upigwe wimbo wowote wa diamond ukabadili chan el ukalutana na mwingine utazima TV ?
Au uko ofisini .huko nyumbani utawaambia wazime TV watoto wakiwa sebuleni ?
 
BASATA wasanii watazidi kuwadharau kwa mtindo huu,adhabu hata haijatumikiwa wameshaiondoa mbona kwenye mpira hatuoni mambo kama hayo!Hao wamesafirije na huku walishanyimwa kufanya show?lazima walijua haiishi siku watasamehewa
unaujua muda usiojulikana???
 
Hilo ni shinikizo kutoka juu... ole wake asipofuata... madhara yake anayajua...


Ataenda kugombaniwa jela...


Cc: mahondaw
 
King Mond watu wenye roho za kimasikini wanakuchukia bure eti wanataka uwalelee watoto
 
Mkuu wamekanusha sasa hatuelewi nani mkweli!
 
Waendelee kupiga kazi kwa nguvu zao zote.....mziki wetu bado una safar ndefu ya kufikia level za kimataifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…