BASATA: Wimbo wa WAPO wa Ney wa Mitego kufungiwa, hauna Maadili

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Katibu Mkuu wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Godfrey Mngereza amesema wataufungia wimbo wa 'Wapo' wa Nay wa Mitego kwani hauna maadili. Amesema haufai unachochea vurugu.
https://www.facebook.com/video.php?v=1491394620893967
=======

UPDATE II:

Siku moja baada ya Kukamatwa kwake, Rais Magufuli ameagizwa Ney wa Mitego aachiliwe na Nyimbo yake ipigwe katika vituo vyote vya Radio na TV. Kwa habari zaidi soma=>Rais Magufuli aamuru Ney wa Mitego aachiwe huru na wimbo wake upigwe vituo vyote redio na TV
 
Mnafungiaje wimbo ambao haujatoka rasmi?
uko kwenye mitandao tutaufuata huko
Na wao wamesema bayana hawahangaiki na mitandao!!!
Tunaomba mwenye nao autupie hapa tuusikie kama unapaswa kufungiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…