figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Watu walionao huo wimbo wafanyeje? Waurudishe au waendelee kuusikiliza.?Katibu Mkuu wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Godfrey Mngereza amesema wataufungia wimbo wa 'Wapo' wa Nay wa Mitego kwani hauna maadili.
Msijisumbue maana mm ninao tayariKatibu Mkuu wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Godfrey Mngereza amesema wataufungia wimbo wa 'Wapo' wa Nay wa Mitego kwani hauna maadili.
Nimependa swali lakoWatu walionao huo wimbo wafanyeje? Waurudishe au waendelee kuusikiliza.?
Kwa earphone mkuuWatu walionao huo wimbo wafanyeje? Waurudishe au waendelee kuusikiliza.?
Na wao wamesema bayana hawahangaiki na mitandao!!!Mnafungiaje wimbo ambao haujatoka rasmi?
uko kwenye mitandao tutaufuata huko
Ni sawa na Baba anamwambia binti, husibebe mimba, wakati tayari wajanja waishamdunga na ina miezi 6, na kutoa hawezi maana akithubutu tu kifo nje nje.Mnafungiaje wimbo ambao haujatoka rasmi?
uko kwenye mitandao tutaufuata huko
anakwambia yeye ni dereva hawezi kuwa kwenye list ya makonda...Hapo bado hawajausikia Usinipangie wa Baghdad.....