BASATA yaufungia wimbo wa Mwanza ulioimbwa na msanii Rayvanny kwa kushirikiana na Diamond Platnumz

BASATA yaufungia wimbo wa Mwanza ulioimbwa na msanii Rayvanny kwa kushirikiana na Diamond Platnumz

Nawapenda wasafi ila wimbo wao ulikuwa wa hovyo sana, kama wamekosa chakuimba wakacheze rede. Imagine unakutana na kitoto mtaani kinaimba nyege nyege nyegezi.... Utaona aibu lazima. Ni wazi watoto hawaelewi matusi ila itafika muda watayaelewa na watatambua kumbe kuimba na kuongea matusi mbele ya public ni kawaida, watafanya hivyo na wao tukose wakumlaumu, lets think big.

Tunaoelewa matusi sote ni watu wazima, lakini jamii ina watu mchanganyiko si watu wazima pekee hivyo wimbo unasikilizwa na kila mtu, unakuta wimbo unapigwa uko na mzazi wako, Aibu gani hii, Badilikeni tumewachoka wapuuzi nyie.

Big up basata.
 
Acha kuwadanganya watu [emoji23][emoji23]

Ww una muda wa kufuatilia mistari ya diamond?
Ninao sababu nampenda na namfatilia nyimbo zake. Ila siku hizi nyimbo zake kichefu chefu tupu
20181112_130609.jpg
 
Wewe kwako matusi si ndio salamu ndio maana unaona kawaida tu [emoji4][emoji4]
Ushaanza ubishi wako mtu wa kigoma

Unashindwa kuleta ushahidi unaanza kunishambulia.

Kwny simu zenu kuna nyimbo watu wanasema mazafaka lkn hamuoni tatizo kbs
 
acha wivu matusi uwez ukalopoka ukijua unasikilizwa pakubwa,tafsir yanu ndo inawatuma kuwaza ni matus
 
Unashindwa kuleta ushahidi unaanza kunishambulia.

Kwny simu zenu kuna nyimbo watu wanasema mazafaka lkn hamuoni tatizo kbs
Sina mimi hizo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We fatilia mistari ya diamond ya hivi karibuni utamsikia anaimba hovyo hovyo
 
Sina mimi hizo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We fatilia mistari ya diamond ya hivi karibuni utamsikia anaimba hovyo hovyo

Mimi najua ww hamna mstari unaofatilia
 
NANI ALIEANZISHA KUSEMA WASANII NI KOO CHA JAMII . HUYO ATAKUWA MLEVI BORA USEME WACHUNGAJI MAPADRI NA MASHEKHE NI KIOO CHA JAMII NI BORA
 
Heri umefungiwa,nilikuwa naona aibu kusikiliza hata mi mwenyewe
Hata mimi nilikua naona aibu kusikiliza wimbo huu wa hawa vijana wa WCB.
Lakini now niko nasikiliza albamu ya J.Cole inayokwenda kwa jina la 2014 Forest Hills Drive, kwasasa niko kwa wimbo unaoitwa WET DREAMz.
Namkubali sana J.Cole aisee.
 
Dimond hana analolijua kwenye kuimba zaidi ya kutumia viungo vya siri
 
Huyu Dogo kazidi siyo wimbo tu bali yeye ndio apigwe ban! mwaka hivi ajifunze
imewezekana amaetoka tandale lakini utandale hauwezi kumtoka! hivyo apigwe ban. alidhnia ni zile enzi anaingia ikulu kama home !! JPM yuko fit
 
Back
Top Bottom