mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,682
- 10,801
Nauomba imbobo bidada, make sijausikia hataSema jisongi faya lile... Nitakua naucheza chumbanii mwenyewe maana ninao.
Aiii nyege nyege kwetu Mwanza Nyegezi..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nauomba imbobo bidada, make sijausikia hataSema jisongi faya lile... Nitakua naucheza chumbanii mwenyewe maana ninao.
Aiii nyege nyege kwetu Mwanza Nyegezi..
Nauomba imbobo bidada, make sijausikia hata
Sema jisongi faya lile... Nitakua naucheza chumbanii mwenyewe maana ninao.
Aiii nyege nyege kwetu Mwanza Nyegezi..
Waliufungia kamba za katani....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona nme uplai saiv YouTube[emoji15][emoji15][emoji15]
Kisa imeguswa wasafi?Hili baraza ni afadhali lifumuliwe ziwekwe damu changa zinazoelewa mazingira yaliyopo kwa karne hii.Haya mambo ya kufungia nyimbo zilizotungwa kwa tafsida hapo iko shida,maneno yamefumbwa lakini bado nyimbo inafungwa,kama ni maadili nyimbo za kina Nick minaj watoto wanaangalia kila siku na hamzizuii,mnasema eti ni aibu kusikiliza na mzazi,sasa nini maana ya tafsida?mana yake si asiyehusika asielewe ,yani kuficha ukali wa maneno na ndo sanaa ilivyo..Kuna vitu vingi hauwezi kufanya mbele ya wazazi na vipo vingi tu lakni vina sehemu yake,kama hizo nyimbo ni kwajili ya clubs kwetu sisi watu wa vyombo,sasa shida iko wapi..Yani unafungia kifupi cha NYEGEZI(NYEGE) sasa utasikiliza IOKOTE?.Hili baraza limeshapitwa na wakati,mfano kale ka MGEREZA kale,wawekwe vijana pale bhana,Mnatukosesha vingi sana,Kama hamlei watoto wenu vizuri nyumbani msisingizie nyimbo zinaharibu watoto,kama watoto wanaimba lakni hawaelewi shida iko wapi?.haka ka MGEREZA Kanatafuta kiki kapewe tenda ya KUNUNUA KOROSHO NTWARA??..
Anayelewa kwamba ni matusi ujue kakua huyo,kwani kuna ubaya gani wewe ukisikia matusi?kwani wewe ni mtoto?Ambao hawaelewi ni watoto ndo mana wanaimba hadharani..kwani kuna shida gani mtoto kuimba tu ila hajui mana yake?.Rejea MHOGO WA JANG'OMBE bi kidude,UNAKULA NINI by jaffarai,mkono mmoja by tmk,MGUMBA by Revolution band mwinjuma na Anna MANUNDU By dudu baya,Ina mana zamani basat haikuwepo?.Kisa imeguswa wasafi?
Hao jamaa wanaimba matusi haifai kwa jamii japo mimi ni mmoja kati ya washangiliaji wao