Soko lipo kwenye mitusi hiyo hiyo sijui BASATA wanataka wote tuimbe injiliAnayelewa kwamba ni matusi ujue kakua huyo,kwani kuna ubaya gani wewe ukisikia matusi?kwani wewe ni mtoto?Ambao hawaelewi ni watoto ndo mana wanaimba hadharani..kwani kuna shida gani mtoto kuimba tu ila hajui mana yake?.Rejea MHOGO WA JANG'OMBE bi kidude,UNAKULA NINI by jaffarai,mkono mmoja by tmk,MGUMBA by Revolution band mwinjuma na Anna MANUNDU By dudu baya,Ina mana zamani basat haikuwepo?.
Duh kweli kuishi mkoani muda murefu na kuongea kilughalugha kuna madhara yake wa mkoani,ndo kwanza nimegundua neno ms@@nge limegeuzwa sengerema asante sana JF hata kudanga nimelijulia humu.Kwamfano mimi natokea Sengerema inamaana nikiitwa SENGE BOY nitakuwa nimetukanwa??
No doubt ..Are u basata?shut the f**k up..Toa maoni yako pita hivi.Achana na mtoto..haujui hali ngumu aliyonayo mwanangu..Wewe si ndio ulikuwa unataka Mtoto wa miezi miwili asimame
Wafanyabiashara Kahama na mazingira magumu ya kazi - JamiiForums
Nitakutumia PM hiyo mistari
Mamaaaaaa we jamaa wewe wasafi fm kama huisikilizi nenda ata kwenye page yao ya IG unapigwa mpka keroCha Ajabu Toka Umetoka Huo Wimbo Haujawah Kupigwa Wasafi Fm Sijui Walishajua Kitakachotokea Mbeleni
Naiandika kwenye karatasi halafu nikutumia [emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo mistari bado unaichora?
Naiandika kwenye karatasi halafu nikutumia [emoji23][emoji23][emoji23]
Basi nitaandika kwenye MsWord then ni print halafu nikuoneshe[emoji23][emoji23][emoji23]Mwandiko wako wenyewe mbovu kama jongoo kapita sitoweza kusoma
Haaaa....Duh kweli kuishi mkoani muda murefu na kuongea kilughalugha kuna madhara yake wa mkoani,ndo kwanza nimegundua neno ms@@nge limegeuzwa sengerema asante sana JF hata kudanga nimelijulia humu.
Nitumie na mimi nioneSema jisongi faya lile... Nitakua naucheza chumbanii mwenyewe maana ninao.
Aiii nyege nyege kwetu Mwanza Nyegezi..
Nitumie na mimi nione
Nakusubiri PMSawa
Wewe ni wa Kihurumia tuKwa hiyo huko kwengine ndiko tujiaibishe na kujichoresha tukoje wabongo?
Taifa lolote lisilo na maadili/utamaduni wake ni taifa mufu.... lazima tutunze identity yetuWewe ni wa Kihurumia tu