Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Hawa jamaa wanachokera ni kuandika uongo halafu kutaka kutuaminisha kuwa ni kweli.wewe nakuogopa ni mutu hatar unanyosha watu warongo warongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa jamaa wanachokera ni kuandika uongo halafu kutaka kutuaminisha kuwa ni kweli.wewe nakuogopa ni mutu hatar unanyosha watu warongo warongo
NI KWERI MKUU.WACHA NIKABEBE TOFARI SAITIHawa jamaa wanachokera ni kuandika uongo halafu kutaka kutuaminisha kuwa ni kweli.
Ni neno gani la uongo ambalo limeandikwa hapo, nipe maelezo.Hawa jamaa wanachokera ni kuandika uongo halafu kutaka kutuaminisha kuwa ni kweli.
Secret society zipo Aina nyingi ni zaidi ya 15 Sasa fafanua ni ipi inaweka mkazo mshirika wake kutotoka kwa urahisi.Mambo a secret society yamefika JF. Hamna secret society inayokubali member wake ajitoe tu kirahisi na kuja kuwa expose hapa
Huyo mama kafaririki 2007. Wewe mwaka 2023 unasema ni miaka 7 imepita. Huo huoni kama ni uongo?Ni neno gani la uongo ambalo limeandikwa hapo, nipe maelezo.
Kama amekufa 2007 ilikuwaje wakawasiliana kupitia Whatsapp? Na Whatsapp imeanza kutumika 2010Amefariki Mwaka 2007 mwaka huu 2023 unasemaje ni miaka 7? Umecopy na kupaste bila kuhakiki?
Jamaa muongo hakujipanga kabisa. Atachemka sana.Kama amekufa 2007 ilikuwaje wakawasiliana kupitia Whatsapp? Na Whatsapp imeanza kutumika 2010
Tena kwa Africa whatsapp ilianza 2012/13Kama amekufa 2007 ilikuwaje wakawasiliana kupitia Whatsapp? Na Whatsapp imeanza kutumika 2010
Analyse ni mtu wangu sana. Anajielewa na huwa hana stories za kipuuzi. Na huwa hadai kuwa ni za kweli. Mimi napingana na mabwege kama ninyi mbao mnadhani wote humu tuna akili kama zenu. Analyse huwa hata hakasiriki akikosolewa. Anajielewa. Umemtaja mwingine maugaka sijui... Nadhani atakuwa mtu wako wa karibu. Huyu aliomba nipigwe ban kwenye uzi wake wa uongo. Ndo akaendelea.
Nimeamua kumpa jina huyo mama Charlotte Nelson William. Jina lake halisi nimelihifadhi, si heshima Wala nidhamu kuweka jina lake hadharani.Huyo mama kafaririki 2007. Wewe mwaka 2023 unasema ni miaka 7 imepita. Huo huoni kama ni uongo?
Naomba utuwekee muendelezo.Nimeamua kumpa jina huyo mama Charlotte Nelson William. Jina lake halisi nimelihifadhi, si heshima Wala nidhamu kuweka jina lake hadharani.
Tatizo wewe ni mshamba na maarifa yako ni uchizi Kama ilivyo ID yako.Tena kwa Africa whatsapp ilianza 2012/13