Based on true story: Mahaba yalivyonipeleka kwenye Jamii za Siri Ulimwenguni

Nimeamua kumpa jina huyo mama Charlotte Nelson William. Jina lake halisi nimelihifadhi, si heshima Wala nidhamu kuweka jina lake hadharani.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

meaganita njoo umsikilize jamaa yako baada ya kumbana.
 
Tatizo wewe ni mshamba na maarifa yako ni uchizi Kama ilivyo ID yako.

WhatsApp ilianza muda kabla 2012/2013. Pengine wewe ulichelewa kuipakua WhatsApp kwenye kifaa chako Cha mawasiiliano.
2007 amefariki huyo mama hakukuwa na whatsapp.... Bwege wewe. Whatsapp imeanza 2009. Ulichat na mzimu wake. Hii takataka inafaa ENTERTAINMENT . Siyo true story. Nimeshawambia Mods. Ibaki kuwa story ya kutunga kuburudisha watu. Kuuza Chai
 
Safi sana
 
2007 amefariki huyo mama hakukuwa na whatsapp.... Bwege wewe. Whatsapp imeanza 2009. Ulichat na mzimu wake. Hii takataka inafaa ENTERTAINMENT . Siyo true story. Nimeshawambia Mods. Ibaki kuwa story ya kutunga kuburudisha watu. Kuuza Chai
Tatizo unaleta reference za ulimwengu,
halafu Mimi nakupa facts za kiroho.


siwezi kubishana na binadamu ambaye masaa 24 anashinda duniani, hata kuzimu haufahamu. Wahenga walikwambia, kutembea kwingi ndiyo kuona mengi.
ahsante kwakushiriki chizi maarifa.
 
Mzee baba tuwekee episode hawa tushawazoea achana nao.
 
Wewe huwa masaa kadhaa unakuwa Duniani mengine unaenda Kuzimu? Upige na picha kesho ukienda.
 
Mwenyewe huyu jamaa namshangaa yeye kila story anaijua,..ama kweli anaendana na ID yake ya Chizi..😂😂
 
Labda ungeifupisha na kumalizia kwa kuttuambia mwishoni ilikuaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…