Bashe alitupia lawama Bunge kuharibu Kilimo

Bashe alitupia lawama Bunge kuharibu Kilimo

Kazi iendelee
IMG-20230207-WA0156.jpg


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Waziri Bashe jioni hii akichangia bungeni ameutupia lawama Mhimili wa Bunge kuwa ndio umesababisha kuharibu kilimo na kusisitiza kuwa kamwe Serikali ya Rais Samia haiwezi kufanya kosa hilo.

Pamoja na lawama hizo nzito kwa watunga sheria..Kiti hakijaweza kutoa mwongozo wowote kuhusiana na jambo hili la Waziri kulidharau Bunge, wakati Rais mwenyewe wa nchi Dk. Samia Suluhu Hassan hajawahi kulidharau Bunge wala wabunge kwa kuwa anatambua ni moja ya mihimili ya nchi iliyoko kwa mujibu wa Katiba.

Swali la muhimu. Bashe anapata wapi kiburi cha kulidharau bunge kwa kiwango hicho ilihali Rais Samia mwenyewe anayemwakilisha kwenye wizara ya kilimo hajawahi kutoa kashfa kwa Bunge, ametumia bunge kuwatetea wafanyabishara na kusisitiza kuwa kamwe serikali haiwezi kuwapangia bei ya kuuza mazao yao.

Je Wabunge nao wakiamua kueleza ukweli juu ya makampuni yanayohusika na kuuza mazao ndani na nje ya nchi na mahusiano yao na Bashe yuko tayari kuwajibika?
Kwani huyo Bashe sio mbunge?
 
Waziri Bashe jioni hii akichangia bungeni ameutupia lawama Mhimili wa Bunge kuwa ndio umesababisha kuharibu kilimo na kusisitiza kuwa kamwe Serikali ya Rais Samia haiwezi kufanya kosa hilo.

Pamoja na lawama hizo nzito kwa watunga sheria..Kiti hakijaweza kutoa mwongozo wowote kuhusiana na jambo hili la Waziri kulidharau Bunge, wakati Rais mwenyewe wa nchi Dk. Samia Suluhu Hassan hajawahi kulidharau Bunge wala wabunge kwa kuwa anatambua ni moja ya mihimili ya nchi iliyoko kwa mujibu wa Katiba.

Swali la muhimu. Bashe anapata wapi kiburi cha kulidharau bunge kwa kiwango hicho ilihali Rais Samia mwenyewe anayemwakilisha kwenye wizara ya kilimo hajawahi kutoa kashfa kwa Bunge, ametumia bunge kuwatetea wafanyabishara na kusisitiza kuwa kamwe serikali haiwezi kuwapangia bei ya kuuza mazao yao.

Je Wabunge nao wakiamua kueleza ukweli juu ya makampuni yanayohusika na kuuza mazao ndani na nje ya nchi na mahusiano yao na Bashe yuko tayari kuwajibika?
Yawezekana wewe mwenyewe hata huelewi unataka kusema nini. Unasema Bashe amelilaumu Bunge halafu baadaye unasema amelidharau Bunge!

Una tatizo la kutofahamu vizuri Kiswahili? Tangu lini kulaumu kukawa ni sawa na kudharau? Kwa hiyo mtu akikulaumu kwa uamuzi wako fulani maana yake amekudharau?

Ukweli ni kwamba kuna wakati Serikali inafanya makosa, kuna wakati Bunge linafanya makosa, kuna wakati Mahakama inafanya makosa. Kuna wakati Bunge huwa linailaumu Serikali. Kuna wakati Serikali huwa inailamu Mahakama, n.k.

Hivi Bunge ni malaika hata lisifanye makosa? Na Bunge ni Mungu, hata lisilaumiwe kwa kufanya makosa? Kwanza kati ya taasisi ambazo hazina msaada mkubwa kwa Taifa hili ni pamoja na hili Bunge bandia.

Wewe ungeweka details za lawama ili watu wajadili kama lawama za Bashe kwa Bunge ni halali au siyo halali.

Watanzania kweli tuna shida. Na shida yetu kubwa ni umaskini wa uelewa. Hivi kampuni kufanya biashara ya mazao nhe au ndani, ni kosa? Kwanza kiuhalisia Waziri anatakiwa kuwasaidia wakulima wazalishe zaidi kwa gharama nafuu. Na pua awasaidie wakulima kupata masoko mazuri na ya uhakika ya mazao yao. Masoko maana yake nini kama siyo makampuni yanayonunua mazao toka kwa wakulima na kuuza yanapohitajika?
 
Bashe anitajie mkulima mmoja tu wa mpunga ambaye ameuza mchele wake sh 3500 kwa kilo.
Ndio mana bashe kasisitoza vyama vya ushirika vifufuliwe sana.Ili ndio vinunue mazao na kuuza masikio I.Kakiri middlemen ni tatizo na litatatuliwa kwa hivyo vyama.Middlemen wanapiga sana Hela kwa kununua mazao na kuya ficha Ili demand iwe kubwa kuliko supply,then wauze.
 
Waziri Bashe jioni hii akichangia bungeni ameutupia lawama Mhimili wa Bunge kuwa ndio umesababisha kuharibu kilimo na kusisitiza kuwa kamwe Serikali ya Rais Samia haiwezi kufanya kosa hilo.

Pamoja na lawama hizo nzito kwa watunga sheria..Kiti hakijaweza kutoa mwongozo wowote kuhusiana na jambo hili la Waziri kulidharau Bunge, wakati Rais mwenyewe wa nchi Dk. Samia Suluhu Hassan hajawahi kulidharau Bunge wala wabunge kwa kuwa anatambua ni moja ya mihimili ya nchi iliyoko kwa mujibu wa Katiba.

Swali la muhimu. Bashe anapata wapi kiburi cha kulidharau bunge kwa kiwango hicho ilihali Rais Samia mwenyewe anayemwakilisha kwenye wizara ya kilimo hajawahi kutoa kashfa kwa Bunge, ametumia bunge kuwatetea wafanyabishara na kusisitiza kuwa kamwe serikali haiwezi kuwapangia bei ya kuuza mazao yao.

Je Wabunge nao wakiamua kueleza ukweli juu ya makampuni yanayohusika na kuuza mazao ndani na nje ya nchi na mahusiano yao na Bashe yuko tayari kuwajibika?
Fichueni hio Siri kama mnayo Bashe kawachana ukweli na ukweli ndio huo kila mtu abebe jukumu lake. Bashe hajasoma vyuo vya matopeni. Kila mtu ajipiganie
 
Waziri Bashe jioni hii akichangia bungeni ameutupia lawama Mhimili wa Bunge kuwa ndio umesababisha kuharibu kilimo na kusisitiza kuwa kamwe Serikali ya Rais Samia haiwezi kufanya kosa hilo.

Pamoja na lawama hizo nzito kwa watunga sheria..Kiti hakijaweza kutoa mwongozo wowote kuhusiana na jambo hili la Waziri kulidharau Bunge, wakati Rais mwenyewe wa nchi Dk. Samia Suluhu Hassan hajawahi kulidharau Bunge wala wabunge kwa kuwa anatambua ni moja ya mihimili ya nchi iliyoko kwa mujibu wa Katiba.

Swali la muhimu. Bashe anapata wapi kiburi cha kulidharau bunge kwa kiwango hicho ilihali Rais Samia mwenyewe anayemwakilisha kwenye wizara ya kilimo hajawahi kutoa kashfa kwa Bunge, ametumia bunge kuwatetea wafanyabishara na kusisitiza kuwa kamwe serikali haiwezi kuwapangia bei ya kuuza mazao yao.

Je Wabunge nao wakiamua kueleza ukweli juu ya makampuni yanayohusika na kuuza mazao ndani na nje ya nchi na mahusiano yao na Bashe yuko tayari kuwajibika?
Waanze kusema ukweli kwamba Bashe, Kigwangala na Simon Sirro Wana makampuni ya kuuza mazao nje na ndani na ndo wanaolangua mazao ya wananchi Kwa bei chee wakati wa mavuno na Sasa wanawauzia Wananchi hao hao Kwa bei ya kulangua halafu Bashe anatetea bei kubwa ya mazao akisingizia inafaidisha Wakulima?
 
Mimi unayebishana nae ni mkulima wa mpunga,haiwezekani Bei ya mwisho iwe 3500 halafu mkulima akuuzie buku jero,wakulima hatuishi shomoni tuna taarifa zote za soko,huwa tukiwaachia Sana wachuuzi faida basi ni miambili kwa kilo
Wewe ni mkweli nakupongeza Kwa ujasiri. Wachuuzi wa kisomali waliopewa mitaji na kina Bashe ndo wanaotesa Wananchi Kwa Sasa. Haiwezekani Mtu ununue kitu Kwa 1200 baada ya miezi minne uuze kitu hicho hicho Kwa 3800 halafu Waziri anashadadia wizi.
 
Nchi ina vioja sana hii, katika raia 60 milioni plus plus kwanini wizara nyeti hivo apewe msomali? Nani kamuweka hapo? Malengo yao nini? Kwanini nafasi hii tusimpe mtanzania mwenzetu
 
Kwa sasa simuoni mwanasiasa anaejaribu kupigania mambo ya msingi kwene jamii yetu kama Bashe.
Ifike mahala watanzania tuwe tunafundishwa mambo ya kawaida ambayo tunahisi tunayaelewa ila kumbe hatuelewi chochote.
Taifa letu inatakiwa lijikite katika shughuli za kubadil rasilimali za asili kama ardhi, maji na zingine... then tutrade izo product za huko kuinua uchumi.
Hii ya kudhani tutakuwa taifa lenye ustawi kwa kutaka maisha ya ki celebrity, kila mtu kuwa na youtube channel na kazi za kushinda tumekaa... tutarudi utumwani kwa madeni
 
Nchi ina vioja sana hii, katika raia 60 milioni plus plus kwanini wizara nyeti hivo apewe msomali? Nani kamuweka hapo? Malengo yao nini? Kwanini nafasi hii tusimpe mtanzania mwenzetu
Da!! Unaleta ubaguzi wa orientation.Bado una safari ndefu
 
Wewe ni mkweli nakupongeza Kwa ujasiri. Wachuuzi wa kisomali waliopewa mitaji na kina Bashe ndo wanaotesa Wananchi Kwa Sasa. Haiwezekani Mtu ununue kitu Kwa 1200 baada ya miezi minne uuze kitu hicho hicho Kwa 3800 halafu Waziri anashadadia wizi.
Hakuna wasomali wa kutosha kuwa wachuuzi kiasi Cha kuathiri kiwanda Cha chakula kiasi hicho
 
Nimeanza kuamini yawezekana Bashe anamiliki makampuni ya Ulanguzi wa mazao ya chakula kwa wakulima maana siyo kwa kushupaza shingo huku! Hakuna mkulima hata mmoja mwenye stoko ya Mpunga mpaka sasa bali ni wafanya bihashara na walanguzi ndiyo wanaomiliki magodown ya nafaka wakati gunia la mpunga walilinua elfu 70 kutoka shamba lakini sasa wanaliuza 220000/.

Hakuna mkulima anayenufaika na hizi bei bali ni wafanya bihashara ambao yawezekana na yeye ni mmoja wao au ni sponsors wake.
 
Acha ufala mwaka jana miezi kama hii kipindi cha mavuno mkulima aliuza mchele 1300 kwa kg leo hii tunaongelea bei zaidi ya mara mbili, sasa ebu niambie anayeuza bei ya 3500 ni mkulima au mfanya biashara
Mwambie huyooo...anajizima data tuu... mkulima mwenyewe aliyeuza mchele 1300 saivi anaununua 3500..ananyooshwa tuu
 
  • Je alelitupia Bunge lawama zipi? Eleza sawia.
  • Je mkulima ni nani? Ni kila aendaye shamba jukima hata heka 1, 2, n.k ili apate mahitaji ya siku?
 
Mimi unayebishana nae ni mkulima wa mpunga,haiwezekani Bei ya mwisho iwe 3500 halafu mkulima akuuzie buku jero,wakulima hatuishi shomoni tuna taarifa zote za soko,huwa tukiwaachia Sana wachuuzi faida basi ni miambili kwa kilo
Hilo ni kweli lakini huwezi kufikia hitimisho kuwa ukimuachia sana mchuuzi ni 200!! mala ngapi unakuta mtu ananunua kwa mkulima kilo tsh 1280 anaenda kuuza sokoni kwa tsh.1900-2000?tena kama kwa mchele ni zali tu la mwaka jana,ngoja kuanzia mwezi wa tano utaniambia kama hamtaanza kupiga kelele juu ya bei.
 
Back
Top Bottom