Bashe alitupia lawama Bunge kuharibu Kilimo

Bashe alitupia lawama Bunge kuharibu Kilimo

Kwa kawaida gunia la mpunga la debe SITA huwa 40k kipindi Cha mavuno,na huwa tunauza ule mpunga uliolowa,ukikoboa unatoka Kama pilau,mwaka wa kawaida oktoba gunia huwa 80k,mwaka huu huenda chakula kikawa kingi
wapi huko mkuu,mimi kwenye mapoli yote ya mpanda huwa bei ni 30,000 kwa gunia lenye ujazo huo kipindi cha mavuno na mpunga unachagua mwenyewe.
 
wapi huko mkuu,mimi kwenye mapoli yote ya mpanda huwa bei ni 30,000 kwa gunia lenye ujazo huo kipindi cha mavuno na mpunga unachagua mwenyewe.
Ushirika WA mwamapuli,skimu ya mwanzugi,igunga tabora
 
Waziri Bashe jioni hii akichangia bungeni ameutupia lawama Mhimili wa Bunge kuwa ndio umesababisha kuharibu kilimo na kusisitiza kuwa kamwe Serikali ya Rais Samia haiwezi kufanya kosa hilo.

Pamoja na lawama hizo nzito kwa watunga sheria..Kiti hakijaweza kutoa mwongozo wowote kuhusiana na jambo hili la Waziri kulidharau Bunge, wakati Rais mwenyewe wa nchi Dk. Samia Suluhu Hassan hajawahi kulidharau Bunge wala wabunge kwa kuwa anatambua ni moja ya mihimili ya nchi iliyoko kwa mujibu wa Katiba.

Swali la muhimu. Bashe anapata wapi kiburi cha kulidharau bunge kwa kiwango hicho ilihali Rais Samia mwenyewe anayemwakilisha kwenye wizara ya kilimo hajawahi kutoa kashfa kwa Bunge, ametumia bunge kuwatetea wafanyabishara na kusisitiza kuwa kamwe serikali haiwezi kuwapangia bei ya kuuza mazao yao.

Je Wabunge nao wakiamua kueleza ukweli juu ya makampuni yanayohusika na kuuza mazao ndani na nje ya nchi na mahusiano yao na Bashe yuko tayari kuwajibika?
Hizi bla bla za kisiasa ndio zinazouwa kilimo, kilimo hakitakiwi kuwa na siasa maana ndio chanzo kimojawapo cha uchumi
 
Back
Top Bottom