Bashe amewakuta Watanzania wananunua kilo ya mchele 1,800 sasa wananunua 3,500

Bashe amewakuta Watanzania wananunua kilo ya mchele 1,800 sasa wananunua 3,500

Huo ni ufinyu wa fikra kupanda kwa bei ya vitu ni kwa dunia nzima na siyo kwa Michele tuu bidhaa nyingi zimepanda kuanzia mafuta ya petrol mafuta ya kula na bidhaa nyingine nyingi, kupanda huko kwa bidhaa duniani hautokani na waziri Bashe wala haiwezi kuwa kipimo cha kumpima kama ni waziri bora au dhaifu kwenye wizard hii,NiINACHOAMINI NA KUKUBALI KWA NAFSI YANGU MHE.BASHE NII WAZIRI ALIYELETA UKOMBOZI WA BEI KWA WAKULIMA KWA KUWEKA UHURU WA BEI KUAMULIWA NA SOKO
 
Mleta mada nenda kalime mchele wako kwa matumizi ya nyumbani ili utuondolee kero. Kuna hoja kwamba wakulima hawafaidiki na bei iliyopo... huo ni uongo. Pia elewa duniani madalalali ndo hupiga noti ndefu karibu kwenye biashara zote. Anachotumia yeye ni akili tu
 
Dunia haisimami - wewe una ekari ngp ulolima ili tujuwe kuwa unachangia maendeleo ya kilimo na wingi wa chakula nchini?
 
Ilikuwa 900-1100 nimenunua na kuuza mahindi toka Songea mpaka Mpanda kati ya 500-550 usafiri Songea-Dar 100-110 bei ya kuuza 700-760 then yakapanda mpaka 1200 hapo unga ukawa 1400 serikali ikaamua kuuza mahindi ghala za NFRA hiyo 2500 haikiwahi kutokea.
 
Back
Top Bottom