Bashe: Rais hataki utani, amedhamiria kuleta mapinduzi ya kilimo kupitia umwagiliaji

Kishindo chake kinasikika kutoka huko Mkomazi πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/reel/DAyT4ikKR7H/?igsh=MWZtcTdoNzBidHdqaQ==
 
Hussein Bashe ni moja Mawaziri wanaoacha athari chanya kwenye sekta ya Kilimo. Muda ni mwalimu mzuri.
 
Kama tukishindwa kwenye kilimo wakati huu hakuna tena mwaka tutaweza kilimo kimekuwa ni ajira rasmi, Rais Samia ni mkulima halisi amewekeza vingi kwenye kilimo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…