ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #41
Kazi inaendelea 👇👇Fisadi wa sukari huyo, mwizi mkubwa.
View: https://youtu.be/Z7nZazLLDlM?si=HmYJDAqsYx4oliCx
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi inaendelea 👇👇Fisadi wa sukari huyo, mwizi mkubwa.
Kazi zinaongea ,wewe wa mjini endelea kukaa Bar Mbowe atakukomboa kwenye umaskini 😁😁👇👇Shangaa, ndio sasa anakuja na swagwa za kuhadaa wajinga
How?Bashe yupo vizuri ila ndio hivyo tu wizara yake inaendeshwa na wajanja Kuna uwezekano yeye mwenyewe hajui kinachoendelea yeye anapokea maagizo
Binafsi naamini mashamba makubwa makubwa yakianzishwa yataweza kuondosha tatizo la ajiri nchini kwa 80%,ukizingatia mashamba huendana na viwanda vya processing!Mashamba yote yaliyokufa yanafufuliwa.
Wewe nyumbu kweli
Kazi zinaongea 👇👇Msomali anapiga pesa balaa sisi tumelala
Kazi zipo shambani.Mama Amedhamiria 👇👇Kazi zipo sehemu gani?
Kazi zipo shambani.Mama Amedhamiria 👇👇
View: https://twitter.com/HusseinBashe/status/1818926100124168384?t=Rn7DwVDsR2lnFwprBAuW7A&s=19
Kazi zipo shambani.Mama Amedhamiria 👇👇
View: https://twitter.com/HusseinBashe/status/1818926100124168384?t=Rn7DwVDsR2lnFwprBAuW7A&s=19
Hiyo hiyo utaikuta shambaniLabda kazi ya kuiba
Bashe ni mwizi snHiyo hiyo utaikuta shambani