Bashe: Rais hataki utani, amedhamiria kuleta mapinduzi ya kilimo kupitia umwagiliaji

Hivi BBT imefikia wapi?? Hao vijana walipewa mashamba?? Wako kwenye mashamba??

Kuna kijana wa kijiji huko kwetu, ukimuuliza naye hatoi majibu...
Kuna ambaye analifahamu kwa uzuri hili la BBT??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…