Bashe ambaye ni Mbunge wa Nzega mjini na Waziri wa Kilimo wa Serikali ya Rais Samia dalili zi wazi anaelekea kukwama.
Kwa wajuzi wa mambo ya siasa watakubaliana na mimi kwenye hilo.
Waziri Bashe hakupaswa kupambana na wadau wa sukari kwa aina ile ya kiburi na majivuno! Kwa kuanzia alipaswa kubadili sheria ya uagizwaji sukari nje na siyo kubadiri kanuni pekee.
Pona yake labda ahamishwe Wizara. Tofauti na hivyo wenye sukari yao watamng'oa pale kwa gharama yeyote!
Mpina ndiye atakuwa mwiba mkali utakao endelea kutumiwa kupewa nyaraka muhimu za kummaliza.
Tatizo Bashe na Mwigulu wanataka kupambana na Mpina bila akili huku wakisahau huyo huyo Mpina anaweza kuwa anapewa information zao muhimu za kuwamaliza.
Samia ili kumnyamazisha Mpina labda amteue awe Waziri. Vinginevyo, Mpina ataiangusha Serikali yake mle Bungeni.
Pia soma:
- Kama kweli Waziri Bashe katoa kibali cha kuagiza Sukari kwa kampuni ya simu, hii haitakuwa na tofauti na Ufisadi wa Lowassa Richmond
- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Kwa wajuzi wa mambo ya siasa watakubaliana na mimi kwenye hilo.
Waziri Bashe hakupaswa kupambana na wadau wa sukari kwa aina ile ya kiburi na majivuno! Kwa kuanzia alipaswa kubadili sheria ya uagizwaji sukari nje na siyo kubadiri kanuni pekee.
Pona yake labda ahamishwe Wizara. Tofauti na hivyo wenye sukari yao watamng'oa pale kwa gharama yeyote!
Mpina ndiye atakuwa mwiba mkali utakao endelea kutumiwa kupewa nyaraka muhimu za kummaliza.
Tatizo Bashe na Mwigulu wanataka kupambana na Mpina bila akili huku wakisahau huyo huyo Mpina anaweza kuwa anapewa information zao muhimu za kuwamaliza.
Samia ili kumnyamazisha Mpina labda amteue awe Waziri. Vinginevyo, Mpina ataiangusha Serikali yake mle Bungeni.
Pia soma:
- Kama kweli Waziri Bashe katoa kibali cha kuagiza Sukari kwa kampuni ya simu, hii haitakuwa na tofauti na Ufisadi wa Lowassa Richmond
- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia