Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uongo ndugu yanguLucas anasema kile anachoambiwa aseme. Vijana jifunzeni kuwa chawa na kujitoa ufahamu kunalipa 😎
Kununuliwa tu kidumu cha ngedule ndio uinywe mpaka ulewe na kusifia mambo ya hovyo hovyoCCM huwa hatukurupuki wala kuwa na mihemuko wala kuanza kuropoka ropoka tu kama walevi wa gongo. CCM tunazungumza baada ya kufanya utafiti,uchunguzi wa kina pamoja na kubaini ukweli. na siyo kuzungumza jambo kwa mihemuko au kukurupuka ndio tuanze kufikiri kuanza kufanya uchunguzi .kaa kwa kutulia tu maana Mbele yetu yupo Jemedari Hodari,shupavu, Madhubuti na imara Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan
Ungekaa tu pembeni maana hoja hii ipo juu ya uwezo wako wa akili.Kununuliwa tu kidumu cha ngedule ndio uinywe mpaka ulewe na kusifia mambo ya hovyo hovyo
Luka mbwa washamba naona kumekucha tena🤣🤣🤣kamakawaida yako unaendelea kupiga domo nabandolako lajero🤣🤣CCM huwa hatukurupuki wala kuwa na mihemuko wala kuanza kuropoka ropoka tu kama walevi wa gongo. CCM tunazungumza baada ya kufanya utafiti,uchunguzi wa kina pamoja na kubaini ukweli. na siyo kuzungumza jambo kwa mihemuko au kukurupuka ndio tuanze kufikiri kuanza kufanya uchunguzi .kaa kwa kutulia tu maana Mbele yetu yupo Jemedari Hodari,shupavu, Madhubuti na imara Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan
Hahaha Loook ass Mbwa mshambaLuka mbwa washamba naona kumekucha tena🤣🤣🤣kamakawaida yako unaendelea kupiga domo nabandolako lajero🤣🤣
Huyo naye ni mla rushwa tuHabari wakuu!
Baada ya kumsikiliza mpina kwa umakini nilitegemea lucas mwashambwa muimba mapambio kindaki ndaki na mzalendo wa CCM angejitokeza kumsihi waziri bashe kuachia ngazi! Ila nashangaa kimya swali kwako Lucas Mwashambwa.
1: Umekubaliana na mheshimiwa mpina umeamua kumuachia speaker?
2: Wewe ni mzalendo kwa wala rushwa na wezi?
3: Kwa kuwa wewe ni ccm unayesifia kila kitu huruhusiwi kukosoa pia?
4: Ukiwa ccm unasupport kila kitu hata uozo?
5: Je, upo kusifia kutafuta teuzi au upo humu kama chawa wa CCM
6: Una maoni gani juu ya hili?
7: Ni kweli kwamba lucas mwashambwa Elimu yako imeishia kusifia tu?? Lakini sio kukosoa na kukemea
Sukari ya Zuchuu?"Wenzetu" wanajadili AI sisi tunajadili sukari! Kweli!
Tungejadili kama tunaifahamu, AI ni kitu kipywa wengi hatukifahamu zaidi ya kuona CHATGPT. Hatuwezi kuijadili kwa sababu hatuifahamu, na hatuna uelewa juu ya hiyo AI. Kule jukwaa la TeCh labda kuna wajuvi wa hiyo ungepeleka huo mjadala kule."Wenzetu" wanajadili AI sisi tunajadili sukari! Kweli!
Na hakujua timing ya sisiemu kutaka hela za kuhonga uchaguzi mkuu.Bashe ambaye ni Mbunge wa Nzega mjini na Waziri wa Kilimo wa Serikali ya Rais Samia dalili zi wazi anaelekea kukwama.
Kwa wajuzi wa mambo ya siasa watakubaliana na mimi kwenye hilo.
Waziri Bashe hakupaswa kupambana na wadau wa sukari kwa aina ile ya kiburi na majivuno! Kwa kuanzia alipaswa kubadili sheria ya uagizwaji sukari nje na siyo kubadiri kanuni pekee.
Pona yake labda ahamishwe Wizara. Tofauti na hivyo wenye sukari yao watamng'oa pale kwa gharama yeyote!
Mpina ndiye atakuwa mwiba mkali utakao endelea kutumiwa kupewa nyaraka muhimu za kummaliza.
Tatizo Bashe na Mwigulu wanataka kupambana na Mpina bila akili huku wakisahau huyo huyo Mpina anaweza kuwa anapewa information zao muhimu za kuwamaliza.
Samia ili kumnyamazisha Mpina labda amteue awe Waziri. Vinginevyo, Mpina ataiangusha Serikali yake mle Bungeni.
Pia soma:
- Kama kweli Waziri Bashe katoa kibali cha kuagiza Sukari kwa kampuni ya simu, hii haitakuwa na tofauti na Ufisadi wa Lowassa Richmond
- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Dah!Si bora sukari ina maslahi mapana. Tunajadili mlinzi wa Raisi, kuingia na juba Msikitini. Leo ndiyo habari, Tz ya Nyerere!!!
Wewe, kwani Kinana ni msomali?Bashe< kinana
Ni ngumu kufukuzwa kazi kwa sasa ukiwa kijana wa kinana
Kuna wakulima wa miwa ambao wako chini ya wizara ya kilimo.Hivi sukari kwanini ipo wizara ya kilimo!
Ile si bidhaa already made, ingefaa iwe kwenye biashara....