Bashe yupo ukingoni, hakupaswa kupambana na wadau wa sukari

Bashe yupo ukingoni, hakupaswa kupambana na wadau wa sukari

Bashe ambaye ni Mbunge wa Nzega mjini na Waziri wa Kilimo wa Serikali ya Rais Samia dalili zi wazi anaelekea kukwama.

Kwa wajuzi wa mambo ya siasa watakubaliana na mimi kwenye hilo.

Waziri Bashe hakupaswa kupambana na wadau wa sukari kwa aina ile ya kiburi na majivuno! Kwa kuanzia alipaswa kubadili sheria ya uagizwaji sukari nje na siyo kubadiri kanuni pekee.

Pona yake labda ahamishwe Wizara. Tofauti na hivyo wenye sukari yao watamng'oa pale kwa gharama yeyote!

Mpina ndiye atakuwa mwiba mkali utakao endelea kutumiwa kupewa nyaraka muhimu za kummaliza.

Tatizo Bashe na Mwigulu wanataka kupambana na Mpina bila akili huku wakisahau huyo huyo Mpina anaweza kuwa anapewa information zao muhimu za kuwamaliza.

Samia ili kumnyamazisha Mpina labda amteue awe Waziri. Vinginevyo, Mpina ataiangusha Serikali yake mle Bungeni.


Pia soma:
- Kama kweli Waziri Bashe katoa kibali cha kuagiza Sukari kwa kampuni ya simu, hii haitakuwa na tofauti na Ufisadi wa Lowassa Richmond

- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
⚖️Justice for Asimwe#
 
Habari wakuu!

Baada ya kumsikiliza mpina kwa umakini nilitegemea lucas mwashambwa muimba mapambio kindaki ndaki na mzalendo wa CCM angejitokeza kumsihi waziri bashe kuachia ngazi! Ila nashangaa kimya swali kwako Lucas Mwashambwa.

1: Umekubaliana na mheshimiwa mpina umeamua kumuachia speaker?
2: Wewe ni mzalendo kwa wala rushwa na wezi?
3: Kwa kuwa wewe ni ccm unayesifia kila kitu huruhusiwi kukosoa pia?
4: Ukiwa ccm unasupport kila kitu hata uozo?
5: Je, upo kusifia kutafuta teuzi au upo humu kama chawa wa CCM
6: Una maoni gani juu ya hili?
7: Ni kweli kwamba lucas mwashambwa Elimu yako imeishia kusifia tu?? Lakini sio kukosoa na kukemea
⚖️Justice for Asimwe#
 
Tungejadili kama tunaifahamu, AI ni kitu kipywa wengi hatukifahamu zaidi ya kuona CHATGPT. Hatuwezi kuijadili kwa sababu hatuifahamu, na hatuna uelewa juu ya hiyo AI. Kule jukwaa la TeCh labda kuna wajuvi wa hiyo ungepeleka huo mjadala kule.
Hapa ni Sukari, SPika, Bashe, na Mpina.
Hujaelewa nilichomaanisha.
 
Bashe ambaye ni Mbunge wa Nzega mjini na Waziri wa Kilimo wa Serikali ya Rais Samia dalili zi wazi anaelekea kukwama.

Kwa wajuzi wa mambo ya siasa watakubaliana na mimi kwenye hilo.

Waziri Bashe hakupaswa kupambana na wadau wa sukari kwa aina ile ya kiburi na majivuno! Kwa kuanzia alipaswa kubadili sheria ya uagizwaji sukari nje na siyo kubadiri kanuni pekee.

Pona yake labda ahamishwe Wizara. Tofauti na hivyo wenye sukari yao watamng'oa pale kwa gharama yeyote!

Mpina ndiye atakuwa mwiba mkali utakao endelea kutumiwa kupewa nyaraka muhimu za kummaliza.

Tatizo Bashe na Mwigulu wanataka kupambana na Mpina bila akili huku wakisahau huyo huyo Mpina anaweza kuwa anapewa information zao muhimu za kuwamaliza.

Samia ili kumnyamazisha Mpina labda amteue awe Waziri. Vinginevyo, Mpina ataiangusha Serikali yake mle Bungeni.


Pia soma:
- Kama kweli Waziri Bashe katoa kibali cha kuagiza Sukari kwa kampuni ya simu, hii haitakuwa na tofauti na Ufisadi wa Lowassa Richmond

- Luhaga Mpina amshukia Waziri Bashe, adai amelidanganya Bunge, awataja Magufuli, Rais Samia
Bashe yupo imara kabisa,kuumwa ni ubinafamu hata huyo mpina pia anaugua.Bashe ni very intelligent sio rahisi kumpiga juju wala kumshambulia kwa njia yoyote ile
 
Back
Top Bottom