Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nafikiri wewe ni zero brain , hapa unachat kwa bando uliloibiwa na hujui tu
[emoji1]Mpwa unaweza kubadilisha jina lako?/
[emoji1]
Ilitakiwa wananchi wote wajiunge kwa hali na mali hii kesi washinde.
Ni mkombozi kwa wote.
Salama Shem, umepoteaHabari za siku nyingi sana Shem
you have formed your opinion, stay with itEmbu wewe unayejua nijuze zaidi nami niwe kama wewe...
Sawa kafungueni hio kesi, shindeni ongezeni bei za vifurushi then tutalia pamoja hakuna shida.Hoja zako hazina mashiko! Umezungumzia kwa upande wa uwezo wa simu kutoa huduma! Na si mtandao kutoq huqdum! Kushare inayozungumzia ni bila ntanet! Na dk pia nina dk mia nakupa tano
thubutu yako!Ukiweka salio la kawaida na usijiunge na kifurushi hakuna atakayekupangia namna ya kulitumia, utatumia mpaka salio liishe. Kwanini usiamue kutumia njia hii? Hoja ya kwanza haina mashiko ndugu wakili msomi.
Salama Shem, umepotea
[emoji1] haya wasalimieTupo! Bundle zina-expire siku hizi!
😂😂😂😂😂thubutu yako!
weka 500 utulie siku tatu utakuta 00 hata kama hujabip.