Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Wewe Mirembe yako bado haijajengwaNipeleke mirembeeee tafadhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe Mirembe yako bado haijajengwaNipeleke mirembeeee tafadhali
Kwann hautoi Like unaqoute tu?
Acha uchoyooo wewe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaha kuna siled mona niliona mtu analalamika kwanini tunatoa like kwa kujuana??[emoji23] [emoji23]
Mbashiri bana hapaNiume sikio pm
MtajeKati ya hapo juu kuna mmoja namfahamu fika na kazi yake uliyiandika hapo umeiipatia kabisa
Nitakuwa nakiuka sheria za jf mimi kama member mkongwe siwezi fanya hvyo. Pia nitakuwa nashiriki kutoa privacy za watuMtaje
Poa mkuuNitakuwa nakiuka sheria za jf mimi kama member mkongwe siwezi fanya hvyo. Pia nitakuwa nashiriki kutoa privacy za watu
Marahaba mwanafunziShikamoo madam
Hii nyota ya kuonana na watu inazidi kung'ara kila kukicha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ebu usizibe huo mlango banaAcha kunizibia Ridhiki weyeeeee
😀niletee mwanao basi nimfundishe.Agata edward-mwalimu anaefundisha watoto wadogo![emoji53][emoji53][emoji53]
Kumbe na askari magereza wapo humu, ukute na wafungwa tunao humu humu! Hii nchi ina maajabu mengi sana.Kubashiri day karibuni.
Mshana Jr - Mganga wa kienyeji
Mwifwa - Manager NGOs
GENTAMYCINE - Askari magereza keko.
Hazard FC - Kondakta Dar -Arusha
Prondo - Muuza screpa za Magari
Nalendwa -Huyu madam wa A level History
Hajar -Mother House
Aspirin -Mstaafu anasubiria mafao amekuwa dalali kijiweni.
Mama Sabrina [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
missyrose -Mama ntilie
Mwambie muhudumu akupe bia nne nakuja kulipaNipeeee sodaaa basi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Khaaaaa njooo chembaaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]