Bashiri mtu/watu kwa mujibu wa thread zake jinsi alivyo.

Bashiri mtu/watu kwa mujibu wa thread zake jinsi alivyo.

[emoji3][emoji3][emoji3]siyo kwa jicho hilo ulilompigaView attachment 709557
Ulinzi utakaoniwekea sina uhakika kama kuna mtu atasogea
.
T128-2-VBU.jpg
 
mshana jr..huyu yawezekana ni mtu busara kutokana na mambo ya kiroho aliyojifunza
RRondo ...huyu jamaa ni ni mtu social kila thread utamkuta anatema nondo
shunie....huyu ni mcheshi ila siyo muongeaj saaana mpenzi wa vitabu sana hivyo imagination ni kubwa...
mbitiyaza ....dah huyu anapenda sana utani ...saa nyingine kwenye mambo ya serious kabisa (ref to love connect)
kapeace.... nadhani atakuwa mpolee ila very naughty....

numbisa...ni mtu anayeipenda sana simu na simu yake sidhani inakaa muda mrefu bila kifurushi ...
the list ....hapa mi simo aje tu ajieleze mwenyewe
donlucheese ...huyu atakua ni mtu wa insta maana ma pic kibao ya misosi na mambo mengine...yaani ni mtu wa kuupdate mapichapicha..
emmyta huyu anaweza kupita nyuzi 100 asicomment kama watu hawajamtag
nb huu sio ukweli bali ni makadirio ya kufikirika kwa mtu mmoja na mwengine
Ahaha nimejikuta nacheka tu shunie mm jaman
 
Back
Top Bottom