Bashiri mtu/watu kwa mujibu wa thread zake jinsi alivyo.

Bashiri mtu/watu kwa mujibu wa thread zake jinsi alivyo.

mshana jr..huyu yawezekana ni mtu busara kutokana na mambo ya kiroho aliyojifunza
RRondo ...huyu jamaa ni ni mtu social kila thread utamkuta anatema nondo
shunie....huyu ni mcheshi ila siyo muongeaj saaana mpenzi wa vitabu sana hivyo imagination ni kubwa...
mbitiyaza ....dah huyu anapenda sana utani ...saa nyingine kwenye mambo ya serious kabisa (ref to love connect)
kapeace.... nadhani atakuwa mpolee ila very naughty....

numbisa...ni mtu anayeipenda sana simu na simu yake sidhani inakaa muda mrefu bila kifurushi ...
the list ....hapa mi simo aje tu ajieleze mwenyewe
donlucheese ...huyu atakua ni mtu wa insta maana ma pic kibao ya misosi na mambo mengine...yaani ni mtu wa kuupdate mapichapicha..
emmyta huyu anaweza kupita nyuzi 100 asicomment kama watu hawajamtag
nb huu sio ukweli bali ni makadirio ya kufikirika kwa mtu mmoja na mwengine
 
1.The List= jamaa ni bonge la smart, genius, na mwenye msimamo!...hapendi ujinga ujinga hata kidogo, akikuchamba humu unaeza jihisi we ni wa ovyoo mnoo!

2.Nandera= ni mdada smart na anajua vitu vingi mnoo

3.Avatar mok= huyu jamaa anapenda sana utani, kitu serious yy anachomekea stori zake za vijiweni, halafu yuko obsessed na witnessj, hata kama mada hainihusu lazima achomekee jina langu[emoji23] [emoji23] [emoji23] !!
hapo kwa The List umenikuna koo mnooo Jamaa ana akili nyingi mnooo ila anapenda kuficha uwezo wake alionao hahaaa anamisimamo Yale nahapndi kuyumbishwa na mtu

though nafurahishwa na uwepo wa Witnes
emmyta
Shunie
Jolie Jolie
Demiss
Avatar mok
Mwifwa
Mr Miller
Nalendwa genius girl
BAK
NAHUJA
kapeace
mahondaw wewe nimekuweka tu hapa lakini na kumind ile mbaya maana sio kwa kumpaka Rangi smart kiasi Kile

list nikubwa kwakweli but nawakubali wengi mnooo. nakinachonifnya niwakubali nimichango yao wanayoitoa kimawazo inayosaidia kuifnya jf izidi kuwa na umri mrefu"" tabia zao nikupenda kwao kuwa active JF kila wakati "" nashindwa kuelezea sifa ya kila mtu mmoja mmoja kwa sbabu list nikubwa nahisi nikianza kuelezea hapa nitajikuta nime type MWANANCHI GAZETI
Nakazia kwa The List ni mtu mwenye akili kubwaz na hapendi ujinga ujinga na haogopi chochote anajiamini sana

nearly nakukubali pia [emoji8][emoji8][emoji8]
 
Rasmi kabisaaa nasubiri uthibitishoooo wako tu nianze kuringaaa
From this very moment.... Save this day
T128-2-VBU.jpg
memories-i-love-you.jpg
 
Habari za majukumu wakubwa na wadogo.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.

* Ushimen: ni mtu wa kawaida hapendi kujaa hasira sana.
* Mshana Jr: huyu nilishakunywa nae soda sina haja ya kubashiri.
* Bujibuji: hapendi kucheka cheka lakini hata hivyo hana hasira za karibu mpaka umkere.
* Daby: hapendi kukera ila ukimkera uvumilivu hana anaweza kukuvuruga mbavu.
* Kasie: huyu mama ni mzee lakini anapenda sifa sifa ukimsifia umemdaka.
Gentamycine: hana shida na mtu anapenda kuficha hasira zake lakini zenyewe zinafika kipindi zinamzidia.
Shunie: ni mcheshi mcheshi kidogo sio sana na pia hana tabia ya kuzira ovyo ila anaweza kukupeleka kuzimu ukipitiliza.
Emmyta: Ana wivu sana sema anaficha kidogo ila anaweza kukuuwa kwa wivu.

Wangu ni hao kama unawajua wengine ongezea...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85][emoji85] akiii wewe utakuwa unanijua jaman nje ya jf hiyo ya kuzira sio la kuuliza kuhusu ucheshi ninao kidogo kama ulivyosema ebu niambie we ni nani jaman utakuwa unanijua tu shunie mm
 
Back
Top Bottom