Bashiri mtu/watu kwa mujibu wa thread zake jinsi alivyo.

Bashiri mtu/watu kwa mujibu wa thread zake jinsi alivyo.

173866.jpg
411449.jpg


Thijui kwa nini nimekumbuka tu ule Uthemi Unathema a picture is worth a Thousand words..

Heaven Sent happy happy Friday T...ake! 😀
hahaha [emoji1][emoji1][emoji134][emoji134]
Mimi sijaelewa naomba unieleweshe Nalendwa tafadhali
 
hapo kwa The List umenikuna koo mnooo Jamaa ana akili nyingi mnooo ila anapenda kuficha uwezo wake alionao hahaaa anamisimamo Yale nahapndi kuyumbishwa na mtu

though nafurahishwa na uwepo wa Witnes
emmyta
Shunie
Jolie Jolie
Demiss
Avatar mok
Mwifwa
Mr Miller
Nalendwa genius girl
BAK
NAHUJA
kapeace
mahondaw wewe nimekuweka tu hapa lakini na kumind ile mbaya maana sio kwa kumpaka Rangi smart kiasi Kile

list nikubwa kwakweli but nawakubali wengi mnooo. nakinachonifnya niwakubali nimichango yao wanayoitoa kimawazo inayosaidia kuifnya jf izidi kuwa na umri mrefu"" tabia zao nikupenda kwao kuwa active JF kila wakati "" nashindwa kuelezea sifa ya kila mtu mmoja mmoja kwa sbabu list nikubwa nahisi nikianza kuelezea hapa nitajikuta nime type MWANANCHI GAZETI
Kuna mmoja apo lazima ana sifa binafsi hujataka tu kuchambua vizuri
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] sio asili yako.. Real haters are reading silently
Kwamba ndio hivo vijiba vinawakaba au!!
[emoji23][emoji28][emoji23] hahaha aisee nimecheka wakati nataka nivimbe hapa nikasirikee [emoji19][emoji19][emoji20][emoji35][emoji34][emoji35][emoji34][emoji34][emoji35][emoji20][emoji19][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Hujaona hapo Nalendwa amekupa Heaven sent why kuwe na wivuuu tena ?

Hata mm ni hater namba 1 kwakooo
Always love never hate.. Even your rivals treat them with love.. No matter how much they hate you... Jus love dem... You will always stay health happy and forever young... While they get old worn out and always sick.....
 
Back
Top Bottom