hahaha [emoji1][emoji1][emoji134][emoji134]
Thijui kwa nini nimekumbuka tu ule Uthemi Unathema a picture is worth a Thousand words..
Heaven Sent happy happy Friday T...ake! π
Shindwaaaaa.....[emoji28] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
Hahahaa we Monde nakusalimiaJoly joly, ni mtoto flani mkali hatar ( ana- figure nzur) na mwenyekujipenda na ana penda viatu kuliko hata magari na majumba!
Asante demi [emoji4][emoji4]Wewe utakuwa mpole sana. Umetulia huna papara
Bora tu uwe Mr anguuu ili niishi kwa uhuru jaman khaaa[emoji8] [emoji8] [emoji8] waooh what a wonderful ID.. Mrs Jr[emoji769]! Wallah haters watakufa nacho kijiba cha roho [emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji176]
Kama hivo sitaki tenaFaida nataka iwe kwako nje nje.
NiceHuyu Dada habahatishi, amejishika na Mungu wake.
Naomba niwe hater nambari wani [emoji58][emoji58][emoji8] [emoji8] [emoji8] waooh what a wonderful ID.. Mrs Jr[emoji769]! Wallah haters watakufa nacho kijiba cha roho [emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji176]
Na kitumbua chenye meno[emoji23][emoji23]Kweli kabisa.. Nimekujudge kwa thread zako tu cha mdeko.. Afu nilisahau sio kwa kukatika kunako 6*6[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12]
Cc Smart911
Jaman mtanitoa roho mm jamanNa kitumbua chenye meno[emoji23][emoji23]
Kuna mmoja apo lazima ana sifa binafsi hujataka tu kuchambua vizurihapo kwa The List umenikuna koo mnooo Jamaa ana akili nyingi mnooo ila anapenda kuficha uwezo wake alionao hahaaa anamisimamo Yale nahapndi kuyumbishwa na mtu
though nafurahishwa na uwepo wa Witnes
emmyta
Shunie
Jolie Jolie
Demiss
Avatar mok
Mwifwa
Mr Miller
Nalendwa genius girl
BAK
NAHUJA
kapeace
mahondaw wewe nimekuweka tu hapa lakini na kumind ile mbaya maana sio kwa kumpaka Rangi smart kiasi Kile
list nikubwa kwakweli but nawakubali wengi mnooo. nakinachonifnya niwakubali nimichango yao wanayoitoa kimawazo inayosaidia kuifnya jf izidi kuwa na umri mrefu"" tabia zao nikupenda kwao kuwa active JF kila wakati "" nashindwa kuelezea sifa ya kila mtu mmoja mmoja kwa sbabu list nikubwa nahisi nikianza kuelezea hapa nitajikuta nime type MWANANCHI GAZETI
[emoji1] [emoji1] [emoji1] sio asili yako.. Real haters are reading silentlyNaomba niwe hater nambari wani [emoji58][emoji58]
Hujaona hapo Nalendwa amekupa Heaven sent why kuwe na wivuuu tena ?Naomba niwe hater nambari wani [emoji58][emoji58]
HahahahahahahaaaHahahahahaha LoL! Mie sitii neno Emmy eti chumvi imeongezwa kwi kwi kwi kwi LoL! Nipe ruhusa nionje mrembo Emmy.πππ
Shida na raha yeye hawez kuishi jf bila kutaja watu majina yaoKama hivo sitaki tena
Nimesikia mzee wa Shithole na bwana mdogo kiduku wamepanga kunywa ghahawa kwa pamoja hapo May mwaka huu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hearly Barikiwa dear, nafurahishwa na uwepo wako na uchangamfu wako pia JF, pamoja na kuichangamsha.
You're a Blast!
Kwamba ndio hivo vijiba vinawakaba au!![emoji1] [emoji1] [emoji1] sio asili yako.. Real haters are reading silently
hahaha [emoji1][emoji1][emoji134][emoji134]
Mimi sijaelewa naomba unieleweshe Nalendwa tafadhali
Always love never hate.. Even your rivals treat them with love.. No matter how much they hate you... Jus love dem... You will always stay health happy and forever young... While they get old worn out and always sick.....Hujaona hapo Nalendwa amekupa Heaven sent why kuwe na wivuuu tena ?
Hata mm ni hater namba 1 kwakooo