Uchaguzi 2020 Bashiru na Polepole Heshima yenu ni Kujiuzulu

Uchaguzi 2020 Bashiru na Polepole Heshima yenu ni Kujiuzulu

huyo mmoja arudi kwenye uwanaharakati huyo mwengine arudi cuf
Wamekiuwa Chama wazi wazi!... walitaka kuendesha chama kama company by limited. Sasa sikilizia tarehe 28 hiyo. WanaCCM wengi watapiga kura kwa lisu ili kuwapa hawa majamaa adabu ya mwaka
 
Popole na Bashiru mmeifikisha CCM pabaya mno. Aibu hii siyo ya kawaida. Katika watu kumi mtaani 9 wanapanga kumpigia Lissu Kura. Mmemdanganya mwenyekiti kwa miaka na mazao ya uuongo wenu ni dhahiri kutokana na mafanikio ya kutisha ya Lissu. Mmeifikisha CCM pabaya na chuki mliyojenga imo mioyoni mwa watu.

Mfano Jimboni Kawe watu wanazunguka na Gwajima, wanakula hela zake huku wanampigia Lissu Kampeni. Watu wanabenwa kwenye malori, wanapewa 5k, Tshirt na chakula lakini mwiabonwa siku, baada ya kuwasikia wasanii wanaondoka uwanjani. Ni mengi. Busara ni kujiuzulu
Mkuu tunza hiyo tathmini yako. Tarehe 28 Oktoba ni keshokutwa tu.
 
Hakika mkuu CCM walikabidhi chama chao kwa Dola, kimekuwa ni chama dola.
Si chama cha wananchi tena. Wananchi wachache wameporwa chama chao.

Lissu hashindani na CCM bali anashindana na SYSTEM DOLA.
TISS.
POLISI.
JESHI.
WAKURUGENZI.
WAKUU WA MKOA.
WAKUU WA WILAYA NK NK
NK = WANANCHI (WATANZANIA WOTE BILA KUJALI CHAMA GANI)
 
Walioiangamiza ccm ni hawa wafuatao
-mwanaharakat huru
-polepole
-bashilu
-helyjames
-ndugahyi

Hawa wameendesha siasa za chuki,fujo,kutukana,kuumiza watu na kupoteza watu,udalali wa kununua wapinzani haya yote hayakuwasidia kisiasa walishindwa kufanya tafiti,wamebaki kumdanganya mzee anapendwa na atashinda kwa 100%
 
Tatizo hamjui kinachoenda kufanyika, suala sio kushinda kwenye hivyo visanduku vya kura suala ni moja tu, kutangazwa mshindi !
 
Mimi upande wangu nawashukuru Sana bashiru na pole pole. Wamesaidia kuimarisha UPINZANI, wamesaidia kuidhoofisha CCM, wamesaidia mwenyekiti azidi kuchukiwa na wana CCM na watu wa UPINZANI, Ni SWALA zuri.
 
Popole na Bashiru mmeifikisha CCM pabaya mno. Aibu hii siyo ya kawaida. Katika watu kumi mtaani 9 wanapanga kumpigia Lissu Kura. Mmemdanganya mwenyekiti kwa miaka na mazao ya uuongo wenu ni dhahiri kutokana na mafanikio ya kutisha ya Lissu. Mmeifikisha CCM pabaya na chuki mliyojenga imo mioyoni mwa watu.

Mfano Jimboni Kawe watu wanazunguka na Gwajima, wanakula hela zake huku wanampigia Lissu Kampeni. Watu wanabenwa kwenye malori, wanapewa 5k, Tshirt na chakula lakini mwiabonwa siku, baada ya kuwasikia wasanii wanaondoka uwanjani. Ni mengi. Busara ni kujiuzulu
Unajua V8 wewe?? /
 
Matokeo yakitoka mnalalamilia Tume huru na Katiba mpya

Tushawazoea
 
Inawezekana wewe ni mgeni na siasa za Tanzania, baada ya tarehe 28/10 sio mbali tutakutana hapa
hujaelewa ndugu,ccm kama cha siasa imeshafeli na hao wawili walitakiwa wakifanye kiwe na ushawishi wa kisiasa ,kilichopo ni vyombo vyote vya dola vinaisaidia ccm maana haina ushawishi tena w kisiasa,hata kinana na nape walijitahidi ushawishi wa majukwaani utawalinganisha na hawa kina bashiru kweli wanaotegemea figisu?
 
Tatizo hamjui kinachoenda kufanyika, suala sio kushinda kwenye hivyo visanduku vya kura suala ni moja tu, kutangazwa mshindi !


Sasa kwanini kujisifia udhalimu?

Kwa nini haki isifanyike katika kutangazwa mshindi?

Mjue kuwa Mungu anachukizwa sana na udhalimu .

Tumuogope sana Mungu kwa kutenda haki.
 
Popole na Bashiru mmeifikisha CCM pabaya mno. Aibu hii siyo ya kawaida. Katika watu kumi mtaani 9 wanapanga kumpigia Lissu Kura. Mmemdanganya mwenyekiti kwa miaka na mazao ya uuongo wenu ni dhahiri kutokana na mafanikio ya kutisha ya Lissu. Mmeifikisha CCM pabaya na chuki mliyojenga imo mioyoni mwa watu.

Mfano Jimboni Kawe watu wanazunguka na Gwajima, wanakula hela zake huku wanampigia Lissu Kampeni. Watu wanabenwa kwenye malori, wanapewa 5k, Tshirt na chakula lakini mwiabonwa siku, baada ya kuwasikia wasanii wanaondoka uwanjani. Ni mengi. Busara ni kujiuzulu
Na wakishajiuzulu wakamatwe na kutupwa ndani kwa ushenzi uliokithiri, ni pamoja na m/kiti wao.
 
Popole na Bashiru mmeifikisha CCM pabaya mno. Aibu hii siyo ya kawaida. Katika watu kumi mtaani 9 wanapanga kumpigia Lissu Kura. Mmemdanganya mwenyekiti kwa miaka na mazao ya uuongo wenu ni dhahiri kutokana na mafanikio ya kutisha ya Lissu. Mmeifikisha CCM pabaya na chuki mliyojenga imo mioyoni mwa watu.

Mfano Jimboni Kawe watu wanazunguka na Gwajima, wanakula hela zake huku wanampigia Lissu Kampeni. Watu wanabenwa kwenye malori, wanapewa 5k, Tshirt na chakula lakini mwiabonwa siku, baada ya kuwasikia wasanii wanaondoka uwanjani. Ni mengi. Busara ni kujiuzulu
Engineer umesoma umesoma hiyoo? Hii Ndiyo CCM mpya.
 
Back
Top Bottom