Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
'....Mijadala itatufanya tujisahihishe tulipojikwaa na msitarajie madalali wa mali za umma watafurahishwa na mijadala ya aina hiyo.'
Bashiru - 12 Oct 2018
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
when was that?View attachment 2430721
'....Mijadala itatufanya tujisahihishe tulipojikwaa na msitarajie madalali wa mali za umma watafurahishwa na mijadala ya aina hiyo.'
Bashiru.
Usiogopewhen was that?
Tunawaletea Habari Njema.CCM ndio inakaribia kifo.Usiogope
cc: etwege,mwashambwa,chinembe & voicer.View attachment 2430721
'....Mijadala itatufanya tujisahihishe tulipojikwaa na msitarajie madalali wa mali za umma watafurahishwa na mijadala ya aina hiyo.'
Bashiru.
Labda Chama Cha Mashinani huko KenyaTunawaletea Habari Njema.CCM ndio inakaribia kifo.
UPO SAHIHI KIONGOZI NDIO MAANA MACHAWA YALILIPUKA ULIPOYAAMBIA UKWELIView attachment 2430721
'....Mijadala itatufanya tujisahihishe tulipojikwaa na msitarajie madalali wa mali za umma watafurahishwa na mijadala ya aina hiyo.'
Bashiru.
Anapambana na nani? Bado yupo kundini na ubunge wa bure kapewa,Ongoza mwendo Bashiru Ila ninatamani kuona wenye misimamo chanya kama yako wakitoka mafichoni na kuendeleza mapambano hayo badala ya kujificha nyuma ya meza
Kwa maovu yake ya 2020 lazima atauawawaAnapambana na nani? Bado yupo kundini na ubunge wa bure kapewa,
Atoke ajiuzulu ubunge, awe huru, huwezi kusukuma gari bovu ukiwa ndani,
Suala sio when was that ? Bali ni did he really said that ?!when was that?
Ww kanyaboya ndio umuue!!??Kwa maovu yake ya 2020 lazima atauawawa
Wambie atoke kama ana ubavu basiWw kanyaboya ndio umuue!!??
Wezi mna mikwara mbuzi sana nyinyiWambie atoke kama ana ubavu basi
Ana maovu mengi sn hawezi kutokaWezi mna mikwara mbuzi sana nyinyi