Bashiru (Oct 12, 2018): Madalali wa mali za umma hawawezi kupendezwa na mijadala ya kujisahihisha

Bashiru (Oct 12, 2018): Madalali wa mali za umma hawawezi kupendezwa na mijadala ya kujisahihisha

Anapambana na nani? Bado yupo kundini na ubunge wa bure kapewa,
Atoke ajiuzulu ubunge, awe huru, huwezi kusukuma gari bovu ukiwa ndani,
Kuongoza nchi sio sawa na kusukuma gari bovu ukiwa ndani, kuongoza nchi ni kupokea mawazo sahihi na kuyafanyia kazi, zaidi ni kuondokana na mawazo mgando yaliyotukwamisha tulipo na tulipotoka.

Kwanini ufikirie anapambana na mtu? hii kwangu ni dalili ya uoga naona unaanza kujihami, Dr. Bashiru anaacha akili yake ifanye kazi kwa kuangalia namna bora atakayolisaidia taifa kusogea, huu sio mpambano wa uadui, ni mpambano wa kuleta maendeleo ya nchi.

Sioni kwa nani unamfukuza bungeni wakati bunngeni pia ni jukwaa la kutoa mawazo na yakasikilizwa na wengi, muhimu ni wale wanaoshauriwa kuwa tayari kubadilika, wala sio lazima Dr. Bashiru atoke bungeni ndio atoe mawazo yake, aachwe huru atoe mawazo yake kama ilivyo kwa kila mmoja wetu kwa nafasi yake kuanzia mitandaoni.
 
Anapambana na nani? Bado yupo kundini na ubunge wa bure kapewa,
Atoke ajiuzulu ubunge, awe huru, huwezi kusukuma gari bovu ukiwa ndani,
Ubunge mlijipendekeza mkidhani itamfanya anyamazie ushenzi wa watawala wanyonyaji. Suala la kujiuzuru ili mpate pa kuanzia yeye kashaanza, kawaonesha njia kwa kuwanyooshea kidole.. anasubiri nyie mliompa huo ubunge mumvue alafu ndo mtaijua tamu chungu ya asali yenu.

Mwamba kawabip, kama mna salio namba iko kwa hewa mpigieni Bashiru
 
Bashiru yumo kwenye basi la ccm ambalo limegoma kuwaka sasa analisukuma akiwa amekaa ndani siti yambele, wenzie wanamshangaa wanamwambie atelemke ili akasukume akiwe chini,lakini ataweza akiwa peke yake?.
 
Bashiru yumo kwenye basi la ccm ambalo limegoma kuwaka sasa analisukuma akiwa amekaa ndani siti yambele, wenzie wanamshangaa wanamwambie atelemke ili akasukume akiwe chini,lakini ataweza akiwa peke yake?.
Nani kasema yuko peke yake?
 
Suala sio when was that ? Bali ni did he really said that ?!
Alisema kipindi Lissu anadai Tanzania hakuna usalama watu Wana hofu Kila mahali (which was true) hata ya kujadili siasa au kumkosoa Jiwe.

Hayo maneno angeyasema Leo kama nani? Hapo alikua ana address mkutano wa CCM yeye akiwa kama Katibu Mkuu
 
Kuongoza nchi sio sawa na kusukuma gari bovu ukiwa ndani, kuongoza nchi ni kupokea mawazo sahihi na kuyafanyia kazi, zaidi ni kuondokana na mawazo mgando yaliyotukwamisha tulipo na tulipotoka.

Kwanini ufikirie anapambana na mtu? hii kwangu ni dalili ya uoga naona unaanza kujihami, Dr. Bashiru anaacha akili yake ifanye kazi kwa kuangalia namna bora atakayolisaidia taifa kusogea, huu sio mpambano wa uadui, ni mpambano wa kuleta maendeleo ya nchi.

Sioni kwa nani unamfukuza bungeni wakati bunngeni pia ni jukwaa la kutoa mawazo na yakasikilizwa na wengi, muhimu ni wale wanaoshauriwa kuwa tayari kubadilika, wala sio lazima Dr. Bashiru atoke bungeni ndio atoe mawazo yake, aachwe huru atoe mawazo yake kama ilivyo kwa kila mmoja wetu kwa nafasi yake kuanzia mitandaoni.
Mkuu mbona wewe ni great thinker sana unaingiaje mtego wa huyu mnafiki? Hivi angekua waziri angesema haya?

JPM alipokua Rais mbona hakukemea wanaomsifia Kila siku, mbona hakukemea waliotaka aongoze milele?

Eti Leo katoka ndio amegundua mikopo mibaya, ndio amegundua katiba Ina madhaifu!!!

Mnaomshangilia huyu jamaa sielewi kawashawishi kwa lipi kuona ana dhamira ya kweli zaidi ya kilio Cha ukatibu mkuu kiongozi.
 
..Bashiru atusaidie kuwaandama genge la wauwaji na watekaji ktk awamu ya 5.
 
Mlimjaza hivi hivi Membe, January, Nape, na Kinana wakaishia kuomba msamaha na mwingine akashindwa kufanya hata kampeni.

Mwenyekiti wa CCM ana nguvu kuliko mtu yoyote huko kwenu..... Bashiru hakuona umuhimu wa kubadilisha katiba mpya Sasa atajuta
Na sio pekee atakayejuta na wengine wote humo ndani ambao walikuwa wakidhani katiba mpya haina umuhimu wowote !! Ni suala la muda tu!!
 
20221129_171621.jpg
 
Mlimjaza hivi hivi Membe, January, Nape, na Kinana wakaishia kuomba msamaha na mwingine akashindwa kufanya hata kampeni.

Mwenyekiti wa CCM ana nguvu kuliko mtu yoyote huko kwenu..... Bashiru hakuona umuhimu wa kubadilisha katiba mpya Sasa atajuta
Kaa utulie mkuu
 
Back
Top Bottom