Bashiru una akili zaidi ya unavyoonyesha hadharani

Bashiru una akili zaidi ya unavyoonyesha hadharani

Hii kauli ameisema Tundu Lissu mara mbili akimhusisha Bashiru Ally Katibu mkuu huyu wa ccm...

Mosi ni pale Bashiru alipomdhihaki Mh Lissu juu ya sera yake ya Uhuru akirudia alichokisema Mkapa 2015 akisema Tanzania tayari iko huru kwa nini lissu anazungumzia Uhuru?
Hizo Sera za majimbo muda wake bado SaNA hapa tz
Bila ajizi na bila kupepesa Mh Lissu akitumia kipawa chake cha hali ya juu akamfundisha Bashiru na watz maana ya Uhuru akimnukuu Baba wa taifa kwenye kitabu chake cha Uhuru na Umoja alichokiandika baara ya tz kupata uhuru 1961. Lkn pia alirejea azimio la tz kuingiza kwenye katiba yake maswala ya Uhuru na haki za binadamu ambalo nalo lilikuja baada ya Tanzania kupata uhuru.

Pili ni pale Bashiru alipoiponda sera ya majimbo ya Mh Tundu Lissu na chadema. Km kawaida mbeba maono huyu mwenye uwezo mkubwa na kushawishi na kujenga hoja hakusita kumshangaa Bashiru hasa kiwango chake cha akili anachokionyesha baada ya kuwa katibu mkuu wa chama dola ccm.....Akampa somo murua kabisa.

Ishu yangu ni je, Tundu Lissu anamaanisha nini anapomwambia Bashiru ana akili zaidi ya anazozionyesha?
Inamaana akiwa ccm anatumia akili zake kwa kiwango cha chini sn tofauti na awali alipokua mwalimu na mtu huru?
Je ni wangapi wapo km kina Bashiru wanatumia akili zao tofauti na zile zinazojulikana na wengi kwa vile tu wapo na wana vyeo ccm?

Check clip hiyo.... Je haya maoni ya Musiba kuhusu ili uwe mwana ccm ni lazima kua mnafiki wa kiwango cha phd yana ukweli?

NI KAULI YA KUFIKIRISHA. TUENDELEE KUTAFAKARI ZAIDI
Hizo sera za majimbo muda wake bado sana hapa tanzania,
Hilo likifanyika kuna mikoa mbayo ipo juu na itakuwa hivyo, na kuna mikoa ambayo ipo nyuma ma itabaki hivyo,
Hao magavana wataanza kubagua na kutoa pesa kidogo serikari kuu wakitaka kunyanyua majimbo yao sasa, mikoa ambayo haina rasilimali za kutosha itafanyaje?
Maana hao wananchi na magavana tutakuwa na nguvu ya maamuzi kwa mapato yetu hivyo hatutakubali pesa yetu itoke kujenga kungine wakati hatujalidhika na maendeleo tunayotaka.
Naongea hivyo si kwamba ninapoishi hakuana rasilimali,
Hapa tuna
Madini
Mbuga sehem kubwa
Ziwa sehem kubwa
Mpakani na nchi jirani
Hivyo kwetu hatuna shida na tutabana kweli hatutakubali ujingaujinga.
 
Hii kauli ameisema Tundu Lissu mara mbili akimhusisha Bashiru Ally Katibu mkuu huyu wa ccm...

Mosi ni pale Bashiru alipomdhihaki Mh Lissu juu ya sera yake ya Uhuru akirudia alichokisema Mkapa 2015 akisema Tanzania tayari iko huru kwa nini lissu anazungumzia Uhuru?

Bila ajizi na bila kupepesa Mh Lissu akitumia kipawa chake cha hali ya juu akamfundisha Bashiru na watz maana ya Uhuru akimnukuu Baba wa taifa kwenye kitabu chake cha Uhuru na Umoja alichokiandika baara ya tz kupata uhuru 1961. Lkn pia alirejea azimio la tz kuingiza kwenye katiba yake maswala ya Uhuru na haki za binadamu ambalo nalo lilikuja baada ya Tanzania kupata uhuru.

Pili ni pale Bashiru alipoiponda sera ya majimbo ya Mh Tundu Lissu na chadema. Km kawaida mbeba maono huyu mwenye uwezo mkubwa na kushawishi na kujenga hoja hakusita kumshangaa Bashiru hasa kiwango chake cha akili anachokionyesha baada ya kuwa katibu mkuu wa chama dola ccm.....Akampa somo murua kabisa.

Ishu yangu ni je, Tundu Lissu anamaanisha nini anapomwambia Bashiru ana akili zaidi ya anazozionyesha?
Inamaana akiwa ccm anatumia akili zake kwa kiwango cha chini sn tofauti na awali alipokua mwalimu na mtu huru?
Je ni wangapi wapo km kina Bashiru wanatumia akili zao tofauti na zile zinazojulikana na wengi kwa vile tu wapo na wana vyeo ccm?

Check clip hiyo.... Je haya maoni ya Musiba kuhusu ili uwe mwana ccm ni lazima kua mnafiki wa kiwango cha phd yana ukweli?

NI KAULI YA KUFIKIRISHA. TUENDELEE KUTAFAKARI ZAIDI
Bila shaka wako wengi wanamuunga mkono jizi jiwe kama mateka tu au kwa ajili matumbo yao. Lakini wanajijua na wanajua ukweli! mwenye akili za kipuuzi hapo ni MFALME JUHA peke yake
 
Hii kauli ameisema Tundu Lissu mara mbili akimhusisha Bashiru Ally Katibu mkuu huyu wa ccm...

Mosi ni pale Bashiru alipomdhihaki Mh Lissu juu ya sera yake ya Uhuru akirudia alichokisema Mkapa 2015 akisema Tanzania tayari iko huru kwa nini lissu anazungumzia Uhuru?

Bila ajizi na bila kupepesa Mh Lissu akitumia kipawa chake cha hali ya juu akamfundisha Bashiru na watz maana ya Uhuru akimnukuu Baba wa taifa kwenye kitabu chake cha Uhuru na Umoja alichokiandika baara ya tz kupata uhuru 1961. Lkn pia alirejea azimio la tz kuingiza kwenye katiba yake maswala ya Uhuru na haki za binadamu ambalo nalo lilikuja baada ya Tanzania kupata uhuru.

Pili ni pale Bashiru alipoiponda sera ya majimbo ya Mh Tundu Lissu na chadema. Km kawaida mbeba maono huyu mwenye uwezo mkubwa na kushawishi na kujenga hoja hakusita kumshangaa Bashiru hasa kiwango chake cha akili anachokionyesha baada ya kuwa katibu mkuu wa chama dola ccm.....Akampa somo murua kabisa.

Ishu yangu ni je, Tundu Lissu anamaanisha nini anapomwambia Bashiru ana akili zaidi ya anazozionyesha?
Inamaana akiwa ccm anatumia akili zake kwa kiwango cha chini sn tofauti na awali alipokua mwalimu na mtu huru?
Je ni wangapi wapo km kina Bashiru wanatumia akili zao tofauti na zile zinazojulikana na wengi kwa vile tu wapo na wana vyeo ccm?

Check clip hiyo.... Je haya maoni ya Musiba kuhusu ili uwe mwana ccm ni lazima kua mnafiki wa kiwango cha phd yana ukweli?

NI KAULI YA KUFIKIRISHA. TUENDELEE KUTAFAKARI ZAIDI
Alimaanisha kuwa mtu akijiunga ccm akili zake zinaondelewa na kuwekewa akiliza kuambiwa.
 
Kwel ujinga na ushamba ni mzigo mzito, ndugu hata upate zaidi ya first class kama elimu yako bdo haijakukomboa kifikra na kuendelea kuwa mtumwa kwa wanasiasa utakuwa huna tofauti na punguani ni bora hata yule aliyemaliza chekechea
Ni ujinga uliopitiliza kudhani kupenda CCM ni ujinga, ila kuwa na akili ni kupenda Chadema.

Na hii inafanya kufikiria kuwa Form six failure akiwa Chedema anaufahamu mkubwa kuliko Prof. aliyekuwa CCM. Chadema ndio imekuwa IQ Tester. Ukipata matokeo ya Pass-- Wewe Lissu kwa kuwa uko chadema ni mwerevu sana. Na Mwigulu aliyepata Fist Class kwa kuwa yupo CCM yeye ni mjinga. Akili ya mavi hiyo.

Yaani ukitamka neno Chadema tuu na ufahamu wako unabadilika.

Mnajiaminisha Ujinga, Viongozi wajinga wamewafanya muamini Ujinga wao, na maisha yenu na muono wenu waa kisiasa umejaa Ujinga uliopitiliza.

Na wajanja waliokaa na wakaishi nanyi kisiasa kwa muda mfupi tuu wamegundua ninyi ni wajinga na ndio maana wasomi wabobezi na mtajiri wanawakimbia kila uchao kwa ujinga wenu.
 
Hizo sera za majimbo muda wake bado sana hapa tanzania,
Hilo likifanyika kuna mikoa mbayo ipo juu na itakuwa hivyo, na kuna mikoa ambayo ipo nyuma ma itabaki hivyo,
Hao magavana wataanza kubagua na kutoa pesa kidogo serikari kuu wakitaka kunyanyua majimbo yao sasa, mikoa ambayo haina rasilimali za kutosha itafanyaje?
Maana hao wananchi na magavana tutakuwa na nguvu ya maamuzi kwa mapato yetu hivyo hatutakubali pesa yetu itoke kujenga kungine wakati hatujalidhika na maendeleo tunayotaka.
Naongea hivyo si kwamba ninapoishi hakuana rasilimali,
Hapa tuna
Madini
Mbuga sehem kubwa
Ziwa sehem kubwa
Mpakani na nchi jirani
Hivyo kwetu hatuna shida na tutabana kweli hatutakubali ujingaujinga.

..ukiona jimboni kwako maisha hayaendi unaweza kuhamia jimbo lenye neema.

..kuna wamachinga walitoka mikoa ya kusini kuja dsm kufuata maisha.

..kuna wananchi ambao kutokana na uhaba wa ardhi kilimanjaro walihamia mkoa wa morogoro.
 
NAWAKUMBUSHA TU WAKUU.

Tanzania ni moja kati ya The Poorest Countries in the World (MASIKINI ZAIDI DUNIANI) inashika nafasi ya 8 kutoka chini. ( Focus economy 2019- 23)
MIAKA 60 YA UHURU.

CCM imetufikisha hapa
Kwa Mujibu wa WB Tanzania ni nchi ya 10 kwa uchumi mkubwa Africa, Tanzania ni nchi ya Kipato cha Kati, middle income Country, sio nchi maskini may be hizo takwimu zako umetoa kwa mcoondou wako.
 
..ukiona jimboni kwako maisha hayaendi unaweza kuhamia jimbo lenye neema.

..kuna wamachinga walitoka mikoa ya kusini kuja dsm kufuata maisha.

..kuna wananchi ambao kutokana na uhaba wa ardhi kilimanjaro walihamia mkoa wa morogoro.
Unadhani waliobaki huko wanasiki raha?
Itafika mza mtanza kuwafukuza hao wanaohamia na kusem wanawabana
 
Majibu yako haya yanashikiliwa na utafiti upi ulioufanya? Kama kweli unaongozwa kwa akili yako kuandika hivi, utakuwa mnafiki wa kiwango Cha juu Sana! Nani asiyejua na hakumsikia sumaye kipindi like akiwa waziri mkuu akisema kuwa, " ulitaka Mambo yako yaende sawasawa Basi Hina budi kuwa ccm"!
Matajiri hawajiungi ccm kwa utashi wao Bali wanajisalimisha ili Mambo yao yanyooke! Wasomi halikadhalika wanataka vyeo, madaraja na maslahi! Na ccm imekuwa ikiwatishia na hata kupora au kufilisi Mali za matajiri waliokaidi kujiunga au kuunga juhudi! Haya yapo wazi Sana na Wala usiwalaumu wanachama wa vyama vingine kwa kuwa na mtazamo wako usio na ushahidi wa kitafiti! Ni kweli na haki kusema kuwa Sera ya ccm ni kuwa na wanachama wajinga wengi ambao imewaandaa kwa miaka mingi ili uendelee kuwatumia kutawala! Angalia mifumo ya elimu na aina ya elimu katika taasisi mbalimbali usivyo na maana ya kumkomboa aliyeipata!
Ukweli lazima usemwe ili mbadilike!
Hawa watu wameziba masikio yao kwa pamba..... Ngoja Tundu Lissu awazibue
 
Mabadiliko ya nchi hii hayataletwa na wasomi wa PhD. Yateletwa na watu wa kitaani - ambao kwangu ndio mashujaa wangu. Katika mfumo huu chovu ambamo rais nu mungu-mtu, maPhd wamechukua mkondo wa kijipendekeza kwa watawala ili waendelee kuajiriwa na kuteuliwa, wanaangalia maslahi binafsi. Watu wakitaani hawana cha kupoteza na ndio askari wetu wa mstari wa mbele kuelekea kupata uhuru wa kweli, haki na maendeleo ya watu. Binafsi ninawapongeza askari hawa.
Well Said mkuu.....
 
Kwa Mujibu wa WB Tanzania ni nchi ya 10 kwa uchumi mkubwa Africa, Tanzania ni nchi ya Kipato cha Kati, middle income Country, sio nchi maskini may be hizo takwimu zako umetoa kwa mcoondou wako.
Misukule ya lumumba inashabikia kila kitu...... Lkn hatuoni ajabu maana km viongozi wenu wenye phd ndo hao nyie mtakuwaje? Ni halali kua na akili mbovu kiasi hiki
 
Misukule ya lumumba inashabikia kila kitu...... Lkn hatuoni ajabu maana km viongozi wenu wenye phd ndo hao nyie mtakuwaje? Ni halali kua na akili mbovu kiasi hiki
Wakati mwingine ujisemee wewe, Sema mimi ni Masikini, usiseme Tanazania ni masikini, goon.
 
Back
Top Bottom