Bashiru una akili zaidi ya unavyoonyesha hadharani

Bashiru una akili zaidi ya unavyoonyesha hadharani

Ni ukweli mtupu kuwa kabla Bashiru hajawa Katibu mkuu wa CCM alikuwa anaongea, kujadili na kuchambua mambo na hoja mbalimbali Kama mtu mwenye akili kubwa.
Kawa Katibu mkuu wa CCM amegeuka na kuwa mtu asiye na maarifa, anaongea ujinga.
Prof. Kabudi ni mfano mwingine wa watu waliozika maarifa waliyonayo baada ya kupewa madaraka.
Tatizo sio watu hao wawili uliowataja, tatizo ni mfumo wa Elimu ya nchi yetu, wasomi wetu wakiwa pale UDSM ukawapa mic..wataongea mayai matupu mpaka mteuaji anasema BRAVO..ukiwapereka field ukawaomba watransform mawazo Yao kuwa reality wengi wanakua vituko, ndio maana tuna graduate lukuki kutoka sokoine hawana Ajira na ardhi nchii hii tunafugia nyasi tuu. Imagine nchi nzima hatuna professor wa uchumi/biashara ambaye ana business yenye thamani ya $1m..wanajazana kwenye TV stations kila jioni kutoa nadhalia tuu.
 
Hizo sera za majimbo muda wake bado sana hapa tanzania,
Hilo likifanyika kuna mikoa mbayo ipo juu na itakuwa hivyo, na kuna mikoa ambayo ipo nyuma ma itabaki hivyo,
Hao magavana wataanza kubagua na kutoa pesa kidogo serikari kuu wakitaka kunyanyua majimbo yao sasa, mikoa ambayo haina rasilimali za kutosha itafanyaje?
Maana hao wananchi na magavana tutakuwa na nguvu ya maamuzi kwa mapato yetu hivyo hatutakubali pesa yetu itoke kujenga kungine wakati hatujalidhika na maendeleo tunayotaka.
Naongea hivyo si kwamba ninapoishi hakuana rasilimali,
Hapa tuna
Madini
Mbuga sehem kubwa
Ziwa sehem kubwa
Mpakani na nchi jirani
Hivyo kwetu hatuna shida na tutabana kweli hatutakubali ujingaujinga.
Ujue kuna majimbo lkn bado kuna serikali Kuu..... Ukisema bado cjui unamaanisha nini kwa sababu hiyo mikoa unayosema iko nyuma ni kwa sababu ya mfumo uliopo
 
Bila shaka wako wengi wanamuunga mkono jizi jiwe kama mateka tu au kwa ajili matumbo yao. Lakini wanajijua na wanajua ukweli! mwenye akili za kipuuzi hapo ni MFALME JUHA peke yake
Ukiwa ccm ni km unaacha kutumia akilizako ulizopewa na Mungu....
 
Wakati mwingine ujisemee wewe, Sema mimi ni Masikini, usiseme Tanazania ni masikini, goon.
Misukule ya lumumba inashabikia kila kitu...... Lkn hatuoni ajabu maana km viongozi wenu wenye phd ndo hao nyie mtakuwaje? Ni halali kua na akili mbovu kiasi hiki
 
Tatizo sio watu hao wawili uliowataja, tatizo ni mfumo wa Elimu ya nchi yetu, wasomi wetu wakiwa pale UDSM ukawapa mic..wataongea mayai matupu mpaka mteuaji anasema BRAVO..ukiwapereka field ukawaomba watransform mawazo Yao kuwa reality wengi wanakua vituko, ndio maana tuna graduate lukuki kutoka sokoine hawana Ajira na ardhi nchii hii tunafugia nyasi tuu. Imagine nchi nzima hatuna professor wa uchumi/biashara ambaye ana business yenye thamani ya $1m..wanajazana kwenye TV stations kila jioni kutoa nadhalia tuu.
Huu ndo ukweli mchungu...... Hizi phd ni vituko flani hivi
 
Hii kauli ameisema Tundu Lissu mara mbili akimhusisha Bashiru Ally Katibu mkuu huyu wa ccm...

Mosi ni pale Bashiru alipomdhihaki Mh Lissu juu ya sera yake ya Uhuru akirudia alichokisema Mkapa 2015 akisema Tanzania tayari iko huru kwa nini lissu anazungumzia Uhuru?

Bila ajizi na bila kupepesa Mh Lissu akitumia kipawa chake cha hali ya juu akamfundisha Bashiru na watz maana ya Uhuru akimnukuu Baba wa taifa kwenye kitabu chake cha Uhuru na Umoja alichokiandika baara ya tz kupata uhuru 1961. Lkn pia alirejea azimio la tz kuingiza kwenye katiba yake maswala ya Uhuru na haki za binadamu ambalo nalo lilikuja baada ya Tanzania kupata uhuru.

Pili ni pale Bashiru alipoiponda sera ya majimbo ya Mh Tundu Lissu na chadema. Km kawaida mbeba maono huyu mwenye uwezo mkubwa na kushawishi na kujenga hoja hakusita kumshangaa Bashiru hasa kiwango chake cha akili anachokionyesha baada ya kuwa katibu mkuu wa chama dola ccm.....Akampa somo murua kabisa.

Ishu yangu ni je, Tundu Lissu anamaanisha nini anapomwambia Bashiru ana akili zaidi ya anazozionyesha?
Inamaana akiwa ccm anatumia akili zake kwa kiwango cha chini sn tofauti na awali alipokua mwalimu na mtu huru?
Je ni wangapi wapo km kina Bashiru wanatumia akili zao tofauti na zile zinazojulikana na wengi kwa vile tu wapo na wana vyeo ccm?

Check clip hiyo.... Je haya maoni ya Musiba kuhusu ili uwe mwana ccm ni lazima kua mnafiki wa kiwango cha phd yana ukweli?

NI KAULI YA KUFIKIRISHA. TUENDELEE KUTAFAKARI ZAIDI

View attachment 1574329
Mwambie mwenyekiti arudishe m 50 alizonywea konyagi ndio uje hapa na utopolo wako huu
 
Mwambie mwenyekiti arudishe m 50 alizonywea konyagi ndio uje hapa na utopolo wako huu
Km amekuka hela zenu mkamateni ndio maana tumewapa serikali......

Yaani badala ya kutekeleza sheria na nyie mnalalamika...... Ndio maana tunasema mafisadi ccm sasa baaasssss.......
 
Mwambie mwenyekiti arudishe m 50 alizonywea konyagi ndio uje hapa na utopolo wako huu
Ungekua na akili timamu ungejadili bilioni 50 au zile trillion 1.5 lkn kwa kua ni msukule na ww ni sehemu ya watoto wa dada ndio maana kwako utopolo wa 50milioni ndio muhimu....
 
Unadhani waliobaki huko wanasiki raha?
Itafika mza mtanza kuwafukuza hao wanaohamia na kusem wanawabana

..mbona sasa hivi wananchi wanahama kutoka mkoa mmoja, kwenda mkoa mwingine kutafuta maisha, na hakuna shida yoyote?

..utaratibu wa mikoa au majimbo upo ili kurahisisha masuala ya kiutawala, na kuiwezesha serikali kuwahudumia wananchi kwa ufanisi.
 
Hii kauli ameisema Tundu Lissu mara mbili akimhusisha Bashiru Ally Katibu mkuu huyu wa ccm...

Mosi ni pale Bashiru alipomdhihaki Mh Lissu juu ya sera yake ya Uhuru akirudia alichokisema Mkapa 2015 akisema Tanzania tayari iko huru kwa nini lissu anazungumzia Uhuru?

Bila ajizi na bila kupepesa Mh Lissu akitumia kipawa chake cha hali ya juu akamfundisha Bashiru na watz maana ya Uhuru akimnukuu Baba wa taifa kwenye kitabu chake cha Uhuru na Umoja alichokiandika baara ya tz kupata uhuru 1961. Lkn pia alirejea azimio la tz kuingiza kwenye katiba yake maswala ya Uhuru na haki za binadamu ambalo nalo lilikuja baada ya Tanzania kupata uhuru.

Pili ni pale Bashiru alipoiponda sera ya majimbo ya Mh Tundu Lissu na chadema. Km kawaida mbeba maono huyu mwenye uwezo mkubwa na kushawishi na kujenga hoja hakusita kumshangaa Bashiru hasa kiwango chake cha akili anachokionyesha baada ya kuwa katibu mkuu wa chama dola ccm.....Akampa somo murua kabisa.

Ishu yangu ni je, Tundu Lissu anamaanisha nini anapomwambia Bashiru ana akili zaidi ya anazozionyesha?
Inamaana akiwa ccm anatumia akili zake kwa kiwango cha chini sn tofauti na awali alipokua mwalimu na mtu huru?
Je ni wangapi wapo km kina Bashiru wanatumia akili zao tofauti na zile zinazojulikana na wengi kwa vile tu wapo na wana vyeo ccm?

Check clip hiyo.... Je haya maoni ya Musiba kuhusu ili uwe mwana ccm ni lazima kua mnafiki wa kiwango cha phd yana ukweli?

NI KAULI YA KUFIKIRISHA. TUENDELEE KUTAFAKARI ZAIDI

View attachment 1574329
Sera yenu ya majimbo itawakaanga uchaguzi huu.Ni sera ya kibaguzi watanzania hawataitaka itawagharimu
 
Uongo wa Lisu anaotoaga mfululizo hamuuoni.Mbona Lisu akiwa anatekeleza majukumu yake ya kitaaluma ana akili sana.Akihamia kwenye siasa anakuwa anaongopa kwa kiwango cha hatari.
 
..mbona sasa hivi wananchi wanahama kutoka mkoa mmoja, kwenda mkoa mwingine kutafuta maisha, na hakuna shida yoyote?

..utaratibu wa mikoa au majimbo upo ili kurahisisha masuala ya kiutawala, na kuiwezesha serikali kuwahudumia wananchi kwa ufanisi.
Fact
 
Sera yenu ya majimbo itawakaanga uchaguzi huu.Ni sera ya kibaguzi watanzania hawataitaka itawagharimu
Ahsante kwa maoni yako. Kwa hiyo chato inabaguliwa kwa sababu ya majimbo?
 
Uongo wa Lisu anaotoaga mfululizo hamuuoni.Mbona Lisu akiwa anatekeleza majukumu yake ya kitaaluma ana akili sana.Akihamia kwenye siasa anakuwa anaongopa kwa kiwango cha hatari.
Punguza uzwazwa basi mkuu....
 
Misukule ya lumumba inashabikia kila kitu...... Lkn hatuoni ajabu maana km viongozi wenu wenye phd ndo hao nyie mtakuwaje? Ni halali kua na akili mbovu kiasi hiki
Wakati mwingine ujisemee wewe, Sema mimi ni Masikini, usiseme Tanazania ni masikini, poor lazy goon.
 
Wakati mwingine ujisemee wewe, Sema mimi ni Masikini, usiseme Tanazania ni masikini, poor lazy goon.
Wapi nimeandika hayo mkuu..... Mbona wote mmepanic kuanzia mwenyekiti mpaka mjumbe wa shina?
 
Hii kauli ameisema Tundu Lissu mara mbili akimhusisha Bashiru Ally Katibu mkuu huyu wa ccm...

Mosi ni pale Bashiru alipomdhihaki Mh Lissu juu ya sera yake ya Uhuru akirudia alichokisema Mkapa 2015 akisema Tanzania tayari iko huru kwa nini lissu anazungumzia Uhuru?

Bila ajizi na bila kupepesa Mh Lissu akitumia kipawa chake cha hali ya juu akamfundisha Bashiru na watz maana ya Uhuru akimnukuu Baba wa taifa kwenye kitabu chake cha Uhuru na Umoja alichokiandika baara ya tz kupata uhuru 1961. Lkn pia alirejea azimio la tz kuingiza kwenye katiba yake maswala ya Uhuru na haki za binadamu ambalo nalo lilikuja baada ya Tanzania kupata uhuru.

Pili ni pale Bashiru alipoiponda sera ya majimbo ya Mh Tundu Lissu na chadema. Km kawaida mbeba maono huyu mwenye uwezo mkubwa na kushawishi na kujenga hoja hakusita kumshangaa Bashiru hasa kiwango chake cha akili anachokionyesha baada ya kuwa katibu mkuu wa chama dola ccm.....Akampa somo murua kabisa.

Ishu yangu ni je, Tundu Lissu anamaanisha nini anapomwambia Bashiru ana akili zaidi ya anazozionyesha?
Inamaana akiwa ccm anatumia akili zake kwa kiwango cha chini sn tofauti na awali alipokua mwalimu na mtu huru?
Je ni wangapi wapo km kina Bashiru wanatumia akili zao tofauti na zile zinazojulikana na wengi kwa vile tu wapo na wana vyeo ccm?

Check clip hiyo.... Je haya maoni ya Musiba kuhusu ili uwe mwana ccm ni lazima kua mnafiki wa kiwango cha phd yana ukweli?

NI KAULI YA KUFIKIRISHA. TUENDELEE KUTAFAKARI ZAIDI
@TunduALissu

View attachment 1574329
Ni YEYE LISSU 2020. Mbeba maono.
 
Back
Top Bottom