Bashite, run quick, see…

Bashite, run quick, see…

Ila zaidi sisi wa bongo tuko corrupt zaidi, ni wanafiki sana ndio maana watu wa aina ya Makonda bado wapo tu.

Tunaonyesha chuki zetu kwa Makonda aliyekuwa RC tu, hatufanyi hivyo kwa wengine wengi waliokuwa na nafasi kunwa zaidi yake.
Badala ya kupambana na mfumo, tunapambana na mazao ya mfumo.
Ata tukimsema Makonda mpaka kiama,maisha ya Watanzania yataendelea kule vilevile na wakina Makonda watazidi kuzalishwa na mfumo.
Kinachotakiwa ni kumkataa shetwani CCM na mambo yake yote kama Wakenya na Wazambia walivyozikataa KANU na UNIP!!
 
Usingeijuwa kompyuta ni nini bila Algorithm. Na huyu ndiye Algorithm mwenyewe:

Algorithms, Algebra & Astronomy: Muhammad ibn Musa Al-Khwarizmi​


Ever wondered who paved the way for the age of algorithms?



It was a 9th-century Muslim genius, mathematician, geographer & astronomer, Abu Abdallah Muhammad ibn Musa Al-Khwarizmi - also known as the Father of Algebra.

7335d9_e34e526af6834fbb8378ace59f3f1110~mv2.jpeg





Even the term algorithm is Al-Khwarizmi translated into Latin! The scientist and mathematician Muhammad ibn Musa Al-Khwarizmi lived from 780 to 850 AD in Persia and Iraq.

Soma zaidi: Algorithms, Algebra & Astronomy: Muhammad ibn Musa Al-Khwarizmi
FOH with that bull jive.
 
Ila zaidi sisi wa bongo tuko corrupt zaidi, ni wanafiki sana ndio maana watu wa aina ya Makonda bado wapo tu.

Tunaonyesha chuki zetu kwa Makonda aliyekuwa RC tu, hatufanyi hivyo kwa wengine wengi waliokuwa na nafasi kubwa zaidi yake.
Waovu wakubwa walikuwa Magufuli, Makonda, Sabaya nk. Hao wengine walikuwa na kipimo, au walitembelea nyota za waovu hawa wakuu enzi za utawala wa dhalimu magu.
 
Badala ya kupambana na mfumo, tunapambana na mazao ya mfumo.
Ata tukimsema Makonda mpaka kiama,maisha ya Watanzania yataendelea kule vilevile na wakina Makonda watazidi kuzalishwa na mfumo.
Kinachotakiwa ni kumkataa shetwani CCM na mambo yake yote kama Wakenya na Wazambia walivyozikataa KANU na UNIP!!
Ndio maana kinasemwa mfumo na makonda ni sehemu ya mfumo
 
Badala ya kupambana na mfumo, tunapambana na mazao ya mfumo.
Ata tukimsema Makonda mpaka kiama,maisha ya Watanzania yataendelea kule vilevile na wakina Makonda watazidi kuzalishwa na mfumo.
Kinachotakiwa ni kumkataa shetwani CCM na mambo yake yote kama Wakenya na Wazambia walivyozikataa KANU na UNIP!!
Hiyo ccm tumeshaikataa kwa njia halali ya kura, lakini tuna katiba isiyoruhusu chama kingine kuingia madarakani kwa njia hiyo halali. Au ww unataka tuwakatae kwa njia gani zaidi ya hiyo?
 
Recycling of tyrants pose some serious integrity issues in our judicial system how can I be convinced judges are chosen through rigorous process that mostly elevate the most catechized jurists with integrity to apex the court.

Courts have convicted and sentenced chicken thieves and petty hoodlums and leaving behind tryants and thugs like DAB sauntering around the streets.

R.I.P Ben Saanane & Azory Gwanda all those who their whereabouts puzzles are unknown to date.
 
Back
Top Bottom