Bashite, run quick, see…

Bashite, run quick, see…

Msimsingizie Magufuli, Bashite ni toto la mzee wa Msoga, alilizaa kwa malengo kisha akalitupa kwa JPM lionekane kama toto lake, lilipovuruga jiwe alishtuka akiwa kachelewa ila alilibwaga kwenye uchaguzi wa 2020, sasa mzee wa Msoga alichukua tena toto lake kukamilisha misheni yake.

Asomaye na fahamu.
Anafuga wowowo!
 
Seriously, CCM is morally and ethically bankrupt!

Why? Recycling the same old depraved characters from the archives!

Proof? Albert Msando, Paul Makonda, etc,.
 

Attachments

  • IMG-20231019-WA0005.jpg
    IMG-20231019-WA0005.jpg
    26.6 KB · Views: 1
Huo ndio ukweli mkuu.

JPM alikuwa na silika ya kutopangiwa hivyo walipomtaka alitupe hilo toto alikaza kwamba hapangiwi ila uchaguzi wa 2020 ndiyo atatumia kale ka kigezo ka RC atakayekimbilia form ya kugombea ubunge akikosa ubunge na u RC ameukosa.

Hapo ndipo alipolitupa hilo toto.
Hakutupwa alikuwa anasubiria tu kupangiwa kazi nyingine.
 
Seriously, CCM is morally and ethically bankrupt!

Why? Recycling the same old depraved characters from the archives!

Proof? Albert Msando, Paul Makonda, etc,.
Ukiona umefanya kitu wapinzani wanakushangilia ujue kuna mahali umekosea. Ukiona wanapinga ulichofanya, ujue umewatwanga - JPM
 
Ila zaidi sisi wa bongo tuko corrupt zaidi, ni wanafiki sana ndio maana watu wa aina ya Makonda bado wapo tu.

Tunaonyesha chuki zetu kwa Makonda aliyekuwa RC tu, hatufanyi hivyo kwa wengine wengi waliokuwa na nafasi kubwa zaidi yake.
Chadema eti walifurahia watu kama Februari Marope na Nappy Mauya kurudi kwenye kundi, eti wanaona JPM na team yake kakomolewa.
Niliwaambia kwamba sanduku lijalo huwezi kutoboa bila kutumia karata ya jiwe. Walijaribu kumbomoa lakini naona walikuja kugundua jamaa alifanya mengi na si rahisi kutoka mioyoni.
Karibuni utakuja kuona JNHPP na SGR zinakamilika.
Mkutano uliopita ulizidi kugawa makundi na suala la bandari ndo lilizidisha mpasuko. Kanda ya ziwani tumewapandishia cheo mtoto pendwa na sasa Paulo atazidi kuimarisha. Mwisho wa siku maslahi ya kudumu ndo yanashika nafasi.
 
Seriously, CCM is morally and ethically bankrupt!

Why? Recycling the same old depraved characters from the archives!

Proof? Albert Msando, Paul Makonda, etc,.
We knw why u Wrring Paul Makonda Bcz he didnt accept Hom Sexl, Drug Gang, political
gang and other immoral and un ethical frm ur culture. 😂😂😂😂🤣🤣.
And One Day u gona see PM as a
minister of Home Affairs so wht u gona say Gy
 
Recycling of tyrants pose some serious integrity issues in our judicial system how can I be convinced judges are chosen through rigorous process that mostly elevate the most catechized jurists with integrity to apex the court.

Courts have convicted and sentenced chicken thieves and petty hoodlums and leaving behind tryants and thugs like DAB sauntering around the streets.

R.I.P Ben Saanane & Azory Gwanda all those who their whereabouts puzzles are unknown to date.
Do you have evidence on those accusations that DAB is responsible?
 
Usingeijuwa kompyuta ni nini bila Algorithm. Na huyu ndiye Algorithm mwenyewe:

Algorithms, Algebra & Astronomy: Muhammad ibn Musa Al-Khwarizmi​


Ever wondered who paved the way for the age of algorithms?



It was a 9th-century Muslim genius, mathematician, geographer & astronomer, Abu Abdallah Muhammad ibn Musa Al-Khwarizmi - also known as the Father of Algebra.

7335d9_e34e526af6834fbb8378ace59f3f1110~mv2.jpeg





Even the term algorithm is Al-Khwarizmi translated into Latin! The scientist and mathematician Muhammad ibn Musa Al-Khwarizmi lived from 780 to 850 AD in Persia and Iraq.

Soma zaidi: Algorithms, Algebra & Astronomy: Muhammad ibn Musa Al-Khwarizmi
Kwa nini unataja dini yake watu wanakuwa introduced na kabila zao normally sio dini.kwa hiyo tuseme bashite aliteuliwa na Muslim president. Hao wataalamu wa kawaida na walipogundua hayo hawakusaidiwa na Allah ni akili zao ndo maana huyo Allah yuko Sudan na hakuna cha maana .
 
Chadema eti walifurahia watu kama Februari Marope na Nappy Mauya kurudi kwenye kundi, eti wanaona JPM na team yake kakomolewa.
Niliwaambia kwamba sanduku lijalo huwezi kutoboa bila kutumia karata ya jiwe. Walijaribu kumbomoa lakini naona walikuja kugundua jamaa alifanya mengi na si rahisi kutoka mioyoni.
Karibuni utakuja kuona JNHPP na SGR zinakamilika.
Mkutano uliopita ulizidi kugawa makundi na suala la bandari ndo lilizidisha mpasuko. Kanda ya ziwani tumewapandishia cheo mtoto pendwa na sasa Paulo atazidi kuimarisha. Mwisho wa siku maslahi ya kudumu ndo yanashika nafasi.
Hapo ndipo wanapokosea kushabikia personalities, na kusahau hao bado ni CCM, tena zaidi wanarudi.

Adui yao ni ccm wakisahau hapo watakuwa wanapigana na adui wasiyemjua na watafeli.
 
Back
Top Bottom